Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Jamaa ameumizwa sana kwasababu tu alitaja Tanganyika. Imagine, tangu enzi Wazanzibar wapo huru kujivunia Zanzibar na kupigania Zanzibar, wana serikali yao, bunge lao, lakini mtu wa Bara akitaja Tanganyika anachokutana nacho ni hatari tupu.
Hutakiwi kujiita mtanganyika, ila wengine wajiite tu wazanzibar. nyerere aliweka uoga wa ajabu sana na bado watu wanaishi kwenye kivuli hicho.
Imefika muda sasa kilichopo mioyoni mwa watanganyika kijadiliwe kwa uwazi na muafaka ufikiwe.
Hutakiwi kujiita mtanganyika, ila wengine wajiite tu wazanzibar. nyerere aliweka uoga wa ajabu sana na bado watu wanaishi kwenye kivuli hicho.
Imefika muda sasa kilichopo mioyoni mwa watanganyika kijadiliwe kwa uwazi na muafaka ufikiwe.