Hii Video ya Eddy Kenzo iliyofanywa na HansCanna.. Shauri Yako.

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Sijui kwakweli kama hawa jamaa walikuwa serious.. Au huenda walipishana lugha. Nafikiri hawakuelewana kabisa..
Kinachoimbwa hakirandani hata kidogo na video

Wimbi mzuri kweli..ila humu ndani imejaa misambwanda tu.

Hans labda utujibu. Au ulipewa mtonyo mbuzi..
 
Imba wimbo wako, utoe video zinazoendana.
 
Huu wimbo naupenda mno, kila siku hata nikiwa ofisini nauweka mara kibao.

Mbona uko pouwa kabisa. Mitaa ya Z'bar
 
Mimi ni shabiki wa Eddy.

1. Sembela eno
2. Soraye
3. Sitya loss
4. Free style
5. Royal
 
Wimbo unasema ulimtongoza akakukata alafu unaleta dharau. Sasa cjui shida iko wapi
 
1.Sembela Eno
2.Kadondo kadondo
3.Zigido
ndio best songs za jamaa.. nyingine anajatibujaribu
 
Huu wimbo naupenda mno, kila siku hata nikiwa ofisini nauweka mara kibao.

Mbona uko pouwa kabisa. Mitaa ya Z'bar
Wimbo hauna tatizo....
Video hairandani na kinachoimbwa.
 
Wimbo mzuri na video iko poa kwanza kwao uganda inafanya vizuri kutokana na kenzo kubadilisha mazingira ambayo yamekuwa vivutio tosha kwa wagandaaa....

Joliiii sebbo??
 
Video ipo vizur fasihi imefika vizur kuna muda unatakiwa ubak hewan sio kila kitu msanii akunyooshee vile mawazo yako yanavyotaka.
 
Video ipo vizur fasihi imefika vizur kuna muda unatakiwa ubak hewan sio kila kitu msanii akunyooshee vile mawazo yako yanavyotaka.
Elewesha kidogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…