kamanda hapo unamegewa, alafu mbaya zaidi, huyo mmegaji ni fundi kuliko wewe, kazi unayo mzee maana pamoja na kutoka kijasho na michubuko na nini lakini hujuhi kummega vizuri mkeo, pole sana kamanda, anza mchakato wa kutafuta mwningine[/QUOTE]
no, jamaa hajasema hajui kummega mkewe, swala ni kwamba kuna namna mkewe anavyopendwa kumegwa, inabidi jamaa ajifunze anavyotaka mkewe na sio kutafuta mwingine, vp akatafuta mwingine ikawa the same thing?
mami hapo umenifurahisha..lol....cna comment hapa lakini ni huge turn off.
Kaka jambo la msingi ni kfanya uchngz akinfu, uschukue uwamzi wa ghafra,inawezekana knam2 anaksaidia au ulimi ulitereza. Ila Huyo anatakiwa afanyiwe REVIEW OF LIFE.
Ni kweli dada kimya kimya its a huge turn off but kama hujafikishwa kiasi cha kuanza kugumia si bora uwe kimya ajue tu kuwa bado hajakufikisha!
Maana napata picha huyu shosty mwenzetu si kwamba hakuwa amefikishwa bali hata mawazo yake yaliwezasafiri seriously hadi kwenye sijui movie zite au story za mashogaze kama si kulinganisha ujuzi, wakati mwenzie anachanja mbuga lol.
Umenikumbusha shogangu mmoja yeye alikuwa majamboni sasa akataka kumfurahisha shemeji akajifanya ndo kafika na sauti imekauka kwa mafeelings ikamtoka oh honey please nifeel mimi (hata sijui alikuwa anamanisha nini hapa) sasa ile feel ikasikika vibaya ........ alijuta!!
Mi kama hujanifikisha bwana nakaa kimya ujue tu kuwa sijafiki so uongeze bidii kazini la sivyo tutadiscuss ukimaliza!
kamanda hapo unamegewa, alafu mbaya zaidi, huyo mmegaji ni fundi kuliko wewe, kazi unayo mzee maana pamoja na kutoka kijasho na michubuko na nini lakini hujuhi kummega vizuri mkeo, pole sana kamanda, anza mchakato wa kutafuta mwningine[/QUOTE]
no, jamaa hajasema hajui kummega mkewe, swala ni kwamba kuna namna mkewe anavyopendwa kumegwa, inabidi jamaa ajifunze anavyotaka mkewe na sio kutafuta mwingine, vp akatafuta mwingine ikawa the same thing?
yaani hapo ni kuwa huyo my wife wake anacheat, na inaonekana bado yupo kwenye penzi pevu jipya, kwa hiyo hapo hakuna cha kujirekebisha wala nini? ni kupiga chini tu
na ikiwa ni the same thing unaacha tena
Mi kama hujanifikisha bwana nakaa kimya ujue tu kuwa sijafiki so uongeze bidii kazini la sivyo tutadiscuss ukimaliza!
kwi kwi kwi wapwa bwana lol! mie wacha nende zangu.π
yaani hapo ni kuwa huyo my wife wake anacheat, na inaonekana bado yupo kwenye penzi pevu jipya, kwa hiyo hapo hakuna cha kujirekebisha wala nini? ni kupiga chini tu
na ikiwa ni the same thing unaacha tena
[Kupiga chini bila kjua nini tatzo ni sawa na bure, ukitaka kpambana kvita mpeleleze adui yako, fanya uchnguzi wa kmya kimya, kama ni ukweli utajulikana tu ila kama unahofia zaidi hebu jaribu kuacha kummega atleast a week hku upelelezi ukiendelea]
Duh! Chunguza mjomba.......UTABAINI!!!