Hii vipi jamani? Eti wenzangu!!??

LOL! Jamani kweli ndoa ngumu kama habari zenyewe ndio hizi
 
Ulichukua uamuzi gani mkubwa baada ya kugundua? Ulipiga mzigo chini au ulienda kuongeza urefu wa vidole vyako!? LOL!
 
...Beep ...Beep!

Umeelewa? shemeji anakubeep tu huyo kuangalia msimamo wako. Usishtuke na vitu vidogo vidogo namna hiyo, ...kakutega nawe umeuingia mkenge na mawivu kibao, acha hizo bro.

it's just mind games, start training your mind ku counter-attack 'vijimambo' kama hivyo ambavyo wanawake wa kisasa hutumia sana wakitaka kukuweka sawa kwenye 18 zao (usifurukute).
 
Mkuu kama unataka kuendelea kula bata usimchunguze. Amini alikuwa hamaanishi unavyo waza wewe. Jiulize unyafahamu mangapi ya wanawake na je umeyajua kwa kuwanahino?
 
Pole sana Mkuu huo ni ushahidi wa kutosha kabisa kwamba kuna njemba mnakula nao sahani moja tena si mmoja.
 
Pole sana Mkuu huo ni ushahidi wa kutosha kabisa kwamba kuna njemba mnakula nao sahani moja tena si mmoja.

....πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

kaka unamtisha mbona mwenzetu huyu?

Ndio kusema hizo njemba 'zikilewa' zinapiga slow motion tofauti naye? Hapana, Shemeji yetu aliteleza ulimi tu. Huenda nyumbani kwa laligeni hakuliki, hakulaliki mpaka kieleweke,... nikijitia kwenye viatu vyake 'inauma kwa kweli' kusaidiwa Mke.

Bado nataka sana kuamini Mke aliteleza ulimi tu, hakudhamiria hivyo Mheshimiwa alivyosikia. Kwenye malove-dovey saa ingine inabidi utalolisikia likupitie sikio hili litokee kule, la sivyo mnnnh...!

Mheshimiwa anajitishia tu na ubawa wake, asijitoe raha bure. Hata akichunguza hataambulia lolote kwa sasa...
 
Mpige slow motion halafu muulize kama hii ndiyo namna wanayofanyaga wenzangu..? uone majibu..
 
mkuu usijali shemeji aliwakumbuka tu wapenzi wake wazami wakiwa bado wadogo maana wale walikuwahajui speed yenyewe inayohitajika.
 
dah mzee hapo kuna walakini,eti "WENZAKO HAWAFANYI KWA NGUVU"....tunaambiwa usimchunguze bata lakini huyu ni wife mtu wa karibu anaweza akakuletea maradhi...take care mazee fanya uchunguzi kabla ya ku-conclude
 



haki ya nani leo unaniacha hoi,lol....mie bwana ndio cwezi kunyamazaga kabisa, kanifikisha namwambia, hajanifikisha namwambia ajielewe kabisa acjitoe mijasho bure for nothing.

 
hivi wanawake hamkirihiki kufanya mapenzi na wanaume waliokunywa pombe? uggggggrrrrrrrrrrr me no thanks
 


haki ya nani leo unaniacha hoi,lol....mie bwana ndio cwezi kunyamazaga kabisa, kanifikisha namwambia, hajanifikisha namwambia ajielewe kabisa acjitoe mijasho bure for nothing.

[/COLOR]


hivi, eti Mrs, kwani mwanamke akifika mwanaume si anajua au? wala huna sababu ya kumwambia..I mean kwani kufikia kilele ni siri au wanawake mnatofautiana? nilidhani kuwamwanamke akifika unajua na asipofika pia unajua...lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…