Kuna demu yupo Kigamboni maeneo ya Panama,hakika kamzidi Masogange. Ila yeye anauza mama ntilie na hana pamba.
hahahaha upo mdogo wangu! kwa kweli nimewamissini nyie hapo mbayaaaaa! kha! hugs tele tele kwako we apo!Na mimi nakuja....kama kusutwa tusutwe wote ala!!!
Yaani kuna mijanaume ina uchu, asikwambie mtu.
Wacha wamtafune....na hivo alikuwa mwarabu, fumufumu, rinda kuleeee.....kibikini hukoooo.
Kabaki meng'enuuuuu kama samaki aliyekosa viungo
nimeona rafiki...Ionwe pia na dadaako Fixed Point siku hizi karudia jina lake original baada ya FP wengi kudhani ni Fashion Police 🙂🙂 Fixed Point mlongo wako anakuita huku.
MH msijekusema tuu anaitangaza Tanzania
Kuna demu yupo Kigamboni maeneo ya Panama,hakika kamzidi Masogange. Ila yeye anauza mama ntilie na hana pamba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wenyewe watakwambia anaitangaza tanzania kimataifa!!!!!