johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli hili swala la uhaba wa sukari kama litaendelea tutashuhudia mengi.
Nimemwona Mkuu wa wilaya ya Igunga mh Mwaipopo kupitia Star tv akiwa na lundo la askari polisi waliochanganyika na JW pamoja na migambo wakisaka walanguzi wa sukari mitaani.
Kumbe hii nayo ni vita kama ile ya Corona.
Hakika nimekumbuka madhara ya vita vya Kagera miaka ya 80, walanguzi walisakwa na migambo baada ya miaka 40 msako umeongezewa nguvu kwa kuwajumuisha askari polisi na JW.
Maendeleo hayana vyama!
Nimemwona Mkuu wa wilaya ya Igunga mh Mwaipopo kupitia Star tv akiwa na lundo la askari polisi waliochanganyika na JW pamoja na migambo wakisaka walanguzi wa sukari mitaani.
Kumbe hii nayo ni vita kama ile ya Corona.
Hakika nimekumbuka madhara ya vita vya Kagera miaka ya 80, walanguzi walisakwa na migambo baada ya miaka 40 msako umeongezewa nguvu kwa kuwajumuisha askari polisi na JW.
Maendeleo hayana vyama!