Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Wizara ya Afya imevalia njuga zahanati zisizokidhi viwango na kwa kiasi kikubwa imeathiri zahanati zinazohudumia watu maskini waliochoka haswa!!
Uttata ni huu!
Je, hawa watu wanaokagua na kufungia zahanati wanaweza kutoa tiba/hospitali mbadala wakati hizo lizizofungwa zikiwa kwenye maboresho?
Uttata ni huu!
Je, hawa watu wanaokagua na kufungia zahanati wanaweza kutoa tiba/hospitali mbadala wakati hizo lizizofungwa zikiwa kwenye maboresho?