Elections 2010 Hii ya kugawa fedha kuvunja makundi -ubungo imekaaje?

Kwa nini hayo yafanyike kipindi hiki tena cha uchaguzi tena kwenye jimbo lenye ushindani mwingi.
Changanya na zako............
 
Aliye kurupuka ni yule anayeshindwa kutofautisha posho na rushwa. Yaani hujui kuwa si kila mkusanyiko , au kikao lazima kiwe na malipo? ndo maana mnashindwa kujua kuwa fedha ambazo zingeingia kwenye miradi, zinalipa upuuzi huu!


nakubaliana nawe kuwa si kila mkusanyiko au kikao lazima kiwe na malipo,lakini je ni nani anayepanga kuwa kikao hiki kiatakuwa na malipo au la(najua ni waandaaji).Na hii inategemea na sababu kadhaa,mfano uchumi wa chama,n.k
nafikiri waandaaji wa kikao hawakutakiwa wakuone wewe ili uwashauri wawalipe wajumbe posho au la.
 

Vyama vyote vinatoa sitting allowance ni jambo lililo wazi.
 
What if it was a sitting allowance for the kikao?

Have looked into this differently.

Kafanye research yako kwanza kabla ya kubandika hapa:hand:!!

Chadema walipofanya kikao cha kuteua wagombea wa viti maalum walitoa posho ambayo mimi naita sio rushwa. Wanachama hawawezi kujigharimia kwa kila kitu. Kumbuka kuna wanachama maskini lakini ni wakereketwa ambao hawana nguvu ya fedha ya kununua chakula, soda na hata nauli ni jambo linaloweza kutikisa bajeti zao. Ni lazima vyama vikawa na mfumo wa kuhakikisha wajumbe wanakula au wanasafiri kutoka sehemu moja au ingine bila kutumia fedha zao za mfukoni.
 

wewe ndiye hujui kutofautisha rushwa na posho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…