Hii ya leo imenisikitisha sana! Hivi wanaume tukoje jamani?

na hiyo ndo injili kama ilivyoandikwa na sokomoko
 

Hapa shetani ameshika hatamu kwa huyo mume,huwa natetea sana kuheshimu na kutunza ndoa lakini hapo..........mama na aondoke ila ningemshauri awachukue watoto wake kwani huyo mume hana maadili ya kulea kama afanyalo ameona ni sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…