J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Feb 19, 2025 #1 Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π
Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Feb 19, 2025 #2 johnthebaptist said: Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π Click to expand... Zile saa zako za kutoa boko zimewadia
johnthebaptist said: Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π Click to expand... Zile saa zako za kutoa boko zimewadia
K kibobori mahoro JF-Expert Member Joined Dec 12, 2022 Posts 7,452 Reaction score 10,785 Feb 19, 2025 #3 Asisamehe Africa, Acha wajitegemee waache kutembeza bakuli.
J John Wickzer Mulholland JF-Expert Member Joined Apr 13, 2023 Posts 6,656 Reaction score 14,403 Feb 19, 2025 #4 johnthebaptist said: Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π Click to expand... Aisamehe Afrika?! ? Kwani Afrika imemkosea Nini Trump? Acha Trump ainyooshe Afrika ili Watu Weusi wa Afrika wapate akili nzuri ya kuweza kujitegemea wao wenyewe.
johnthebaptist said: Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π Click to expand... Aisamehe Afrika?! ? Kwani Afrika imemkosea Nini Trump? Acha Trump ainyooshe Afrika ili Watu Weusi wa Afrika wapate akili nzuri ya kuweza kujitegemea wao wenyewe.
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Feb 19, 2025 #5 johnthebaptist said: Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π Click to expand... Inabidi DOGE imchunguze,yupo mwafrika au waafrika waliokwisha penyeza mlungula,yaweza kuwa hata ahadi ya kuipatia Amerika rare minerals.Musk ingia mzigoni chap kwa haraka tunataka efficiency duniani na sii Amerika pekee.
johnthebaptist said: Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli π Click to expand... Inabidi DOGE imchunguze,yupo mwafrika au waafrika waliokwisha penyeza mlungula,yaweza kuwa hata ahadi ya kuipatia Amerika rare minerals.Musk ingia mzigoni chap kwa haraka tunataka efficiency duniani na sii Amerika pekee.