Hii ya Singida Big Stars Kuwapokonya Simba SC Mchezaji Imekaaje?

Yanga inasajili kutokana na mahitaji ya mwalimu,mwalimu akimtaka mchezaji Yanga itaingia kwenye vita hiyo hata atakiwe na al ahly,sio makolo tu,sasa hivi tupo kwenye maongezi na striker wa angola so na yule mlimtaka!?
 
Usiwasikilize hao wewe...!


Nisikilize mimi ambaye niko kwenye eneo husika la kupata taarifa za ndani.
Tusisikilize maneno ya viongozi wa club ambao wamehojiwa na vyombo rasimi vya taarifa, kisha tukusikilize wewe mbea kwakua umetaka?

Hivi hizi akili huwa mmerithi kutoka kwa wazazi wenu kweli??
 
Yanga inasajili kutokana na mahitaji ya mwalimu,mwalimu akimtaka mchezaji Yanga itaingia kwenye vita hiyo hata atakiwe na al ahly,sio makolo tu,sasa hivi tupo kwenye maongezi na striker wa angola so na yule mlimtaka!?
Kwamba mna hela kutunishiana misuri na vilabu vya kasikazini vinvyoingiza mabilioni kupitia gatepass tu? Ama kweli mmejazwa ujinga.[emoji1][emoji1].

Uchumi wa Ahly kama taasisi (sio mtu binafsi) ni zaidi ya ule wa boss wenu plus MO.

Fikiria ikiwa wameweza kuingiza $700K kwa games tu inawapa shida gani kufikisha $5M ambayo GSM au MO hawawezi kwa nazo wao binafsi kwaajili ya mchezaji mmoja.


Tz bado mna safari ndefu sana.
 
Umemaliza kabisa
 
Propaganda hizi haziwezi kuwasaidia hata kidogo. Muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Simba wanapoteanaga sana kwenye usajili but time will tell

Sasa hivi wamemuachia yule Try Again.

Jamaa hana kabisa uzoefu wa hizi mambo za Usajili.

Ndio maana wanahangaika sana.
 
Kolo ndiyo tunawapoteza taratibu kama Pamba,Tukuyu stars, Pan.
 
Usidanganyike na Washamba ( Mambwiga ) na Wageni katika Soka la Tanzania Mkuu. Simba SC ikimuhitaji Mchezaji yoyote ndani ya hivi Vilabu vidogo, vya Kimkakati wa Kisiasa na Masikini kama hiki ulichokitaja ( kinachojadiliwa ) kamwe haiwezi Kumkosa.
 
Usidanganyike na Washamba ( Mambwiga ) na Wageni katika Soka la Tanzania Mkuu. Simba SC ikimuhitaji Mchezaji yoyote ndani ya hivi Vilabu vidogo, vya Kimkakati wa Kisiasa na Masikini kama hiki ulichokitaja ( kinachojadiliwa ) kamwe haiwezi Kumkosa.

Mlishapigwa chenga kwa Kyombo.

Ndio maana mmenyoosha mikono mkaamua kukaa cchini na SBS Ili wawauzie.

Walimsainisha kwa signing fee ya Milioni 11.. ila SBS wanawakwangua milioni 38.
 
Mlishapigwa chenga kwa Kyombo.

Ndio maana mmenyoosha mikono mkaamua kukaa cchini na SBS Ili wawauzie.

Walimsainisha kwa signing fee ya Milioni 11.. ila SBS wanawakwangua milioni 38.
Kwanini hutumii ID yako Verified kunijibu? Hongera kwa Kibarua kipya hapo Singida Big Stars FC na natumai kule Sinza wote ni wazima.
 
Lakini Singida zote hata kama haziko ligi moja ndio za mtu mmoja, au kama Singida ile haipo basi hii ndo ile imekuja kivingine
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…