Sasa hivi taasisi nyingi za serikali hutangaza kazi na kuhitaji vyeti kuanzia kidato cha nne na cha sita.
Kama mtu amepotelewa vyeti hivyo na amebakiwa na copy tu, anaweza kufanyaje ili wamuelewe na wamkubali? Au ukishapotelewa na vyeti hahustahiki kuajiriwa na serikali?
Kama mtu amepotelewa vyeti hivyo na amebakiwa na copy tu, anaweza kufanyaje ili wamuelewe na wamkubali? Au ukishapotelewa na vyeti hahustahiki kuajiriwa na serikali?