Hii yanga Princes ifutwe tu

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,971
Reaction score
4,085
Naangalia hapa simba Queens na yanga princess,kiukweli yanga haina wachezaji kabisa.

Hivi hapa kuna wachezaji waliotoka nje katika hawa wachezaji? Kama wapo wavunjiwe mikataba warudi kwao. Ni bora kutumia wazawa hata kama ni wabovu kuliko haya magarasa kutoka nje.

Wachezaji hata kupiga pssi 3 hawawezi, kuna wengine wakipata mpira wao wanachofikiria ni kubutua tu.

Mpira wa kurusha sasa yaan mtu anaona kapiga amekabwa badala aanze na huyu ambaye hajakabwa yeye anachoongalia ni mpira urushwe mbele tu.

Kuna kama wachezaji wawili tu hapa ndo wachezaji mmoja ni kiungo amesuka anatumia mguu wa kushoto huu ni mchezaji anaweza cheza hata na wanaume ila waliobaki ni takataka tupu.

Simba wana team nzuri na wanacheza vzr sana, simba wana piga mpk counter attack na zina fika kuna mchezaji wao anavaa namba 4 anasumbua sana kwa kasi na nguvu zake.

Hii team yetu ifutwe tu yanga princess ni mbovu
 
Yanga princes inajengwa bado wapo kwenye project yao ya kuitengeneza timu uwezi kulinganisha na Simba ambayo imejengwa kwa muda mrefu na washatengeneza muunganiko mzuri uliowafikisha mpaka klabu bingwa ya wanawake, na yanga inajitafuta itafika uko badae!
 
Viongozi wa Yanga wamekusikia Mkuu.

TEGEMEA MABADILIKO KWA YANGA PRINCESS KUANZIA SASA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
....... bia ni chungu na inanyweka ivi ivooo ..... maziwa hayanyweki bila kuweka sukarii
 
Timu zote za wanawake nchini kukimbilia kujiita princess na queens ni uzwazwa wa hali ya juu. Wameshindwa hata kujiongeza
 
Weka matokeo. Acha maneno mengi.
 
Mpira wa wanawake ni Kama kuburudisha akili usichukulie serious .
Bingwa wa dunia timu ya wanawake USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ waliwahi kupigwa goli 5 ๐Ÿ–๐Ÿฟna vijana wa kiume wa umri wa chini ya Miaka 15 Dallas fc๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ