Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Angevaa na Barakoa ili wote waige ili Waache kuambukizanaAisee leo nimeingia ofisini na kushangazwa na wadada ofisini kwetu. Wengi wao wamevalia hijab, vikoti na sketi ndefu. Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch Manager mpaka Receptionist, wote ni hijab, kikoti na sketi ndefu.
Nashangaa na Mke wangu jana kajifunga hijabu.Aisee leo nimeingia ofisini na kushangazwa na wadada ofisini kwetu. Wengi wao wamevalia hijab, vikoti na sketi ndefu. Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch Manager mpaka Receptionist, wote ni hijab, kikoti na sketi ndefu.
Hongera kwakufanya kazi benki.Aisee leo nimeingia ofisini na kushangazwa na wadada ofisini kwetu. Wengi wao wamevalia hijab, vikoti na sketi ndefu. Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch Manager mpaka Receptionist, wote ni hijab, kikoti na sketi ndefu.
HhhhhhhNaona hata mkalimani kapigilia hizo pigo..
Weka picha zao tuoneAisee leo nimeingia ofisini na kushangazwa na wadada ofisini kwetu. Wengi wao wamevalia hijab, vikoti na sketi ndefu.
Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch Manager mpaka Receptionist, wote ni hijab, kikoti na sketi ndefu.
Afadhali wavae hivo wanatukwaza sana hawa mama zetu......Aisee leo nimeingia ofisini na kushangazwa na wadada ofisini kwetu. Wengi wao wamevalia hijab, vikoti na sketi ndefu.
Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch Manager mpaka Receptionist, wote ni hijab, kikoti na sketi ndefu.
Weka picha zao tuone
Afadhali wavae hivo wanatukwaza sana hawa mama zetu......