Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Hello!
Katika pita pita zangu YouTube muda huu nimekutana na video ya huyu msanii ambayo imapakiwa siku 5 zilizopita. Wimbo nimeupenda ila kilichonishtua na kuniogofya ni muonekano wake sasa, ni kama kinyago cha mpapule ni anatisha kiukweli. Hata ukimuangalia vizuri ni kama mtu amefanyiwa operation ya uso kuna makovu kwa pembeni.
👇
Katika pita pita zangu YouTube muda huu nimekutana na video ya huyu msanii ambayo imapakiwa siku 5 zilizopita. Wimbo nimeupenda ila kilichonishtua na kuniogofya ni muonekano wake sasa, ni kama kinyago cha mpapule ni anatisha kiukweli. Hata ukimuangalia vizuri ni kama mtu amefanyiwa operation ya uso kuna makovu kwa pembeni.
👇