mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Yaani nimecheka sana kusikia mchezaji Feitoto alikuwa analishwa ugali + sukari huko Yanga.
Sasa nawauliza wenzangu huu mchanganyiko wa ugali na sukari unaliwaje?
Angalau kidogo ugali + limao +chumvi hapo unaweza kula ila ugali na chumvi[emoji119][emoji119]
Sasa nawauliza wenzangu huu mchanganyiko wa ugali na sukari unaliwaje?
Angalau kidogo ugali + limao +chumvi hapo unaweza kula ila ugali na chumvi[emoji119][emoji119]