assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Singida FG VS JKU michuano ya CAFKuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila sasa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
Tutapambana na CCM hadi tuwashinde ni suala la muda tu.Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila sasa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
Inakuuma nini kikipoteza mvuto? Who are you by the way? Unadhani wanajua kuwa kuna mtu kama wewe?Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila sasa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787] hahahaha nataman iwe HIV hata Huku uraianiSingida FG VS JKU michuano ya CAF
RubbishKuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila saa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
Awamu ya 5 ulirudisha mkia matakoni, naona sasa umeanza kuunyanyua. Itakuja nyakati utaushusha tena mkia. Shenzi type.Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila saa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
Daaah! Mpaka leo hii, bado una mawazo ya hivi?Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila saa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
Ila mnataka kuendelea kuiba kura na kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Majizi ya kura bana eti mnataka lugha za staha, wakati mnaingia madarakani kwa njia zisizo za staha!Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila saa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee wengi wa CCM ndio huwa mna ujinga wa aina hii.hiki chama ovyo sana pamoja nakuwaita maaskofu kibao kumchafua Mama wamekwama watu walisusa kufanya uwanja wa temeke kigango Cha kanisa.
Hiki chama cha chadema kifutwe kabisa kwa kuuza bandari zetu na mbuga zetu za wanyama kwa mwarabu koko .Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu Cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila saa uzanzibar na utanganyika
hatutaki udini
hatutaki ukanda.
hatutaki lugha zisizo na staha
Nimemuwekea makusudi ili aelewe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787] hahahaha nataman iwe HIV hata Huku uraiani
Kutokana na hayo uliyoyataja, inanipa wasiwasi hata ule msimamo wao wa sera za Majimbo. Na hivi karibuni nilisoma kuwa walitaka kujitenga na kuwa nchi kamili wakati wa UCHIFU, ila Nyerere ndio aliweka ngumu. Wengi wao humu walisema bora wangejitoa wakati ule, eti wangekuwa mbali. Hivyo siasa za majimbo ndio mwanzo wa safari hiyo.Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila saa uzanzibar na utanganyika
Hatutaki udini
Hatutaki ukanda.
Hatutaki lugha zisizo na staha