Hiki chuo cha Utumishi wa Umma mliosoma hapa kuna kutoka kimaisha kweli?

Hiki chuo cha Utumishi wa Umma mliosoma hapa kuna kutoka kimaisha kweli?

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Nimemleta mtoto wa ndugu yangu hapa kuripoti tawi lao la Mtwara, dogo alinyoosha dv 2 safi ila wamempanga kuanza cheti hapa.

Ila kwa kweli sijui kama hichi chuo kipo vizuri kwa kweli au ndio mambo ya kupoteza muda tu.
 
Zamani kilikuwa kwa ajili ya kuwaendeleza wafanyakazi wa serikalini. Kwa hiyo kilikuwa kwa ajili ya wale waliopo kazini tayari.
 
Anaweza kutoboa kwa kutumia kanuni ya KNOW WHO na si KNOW HOW
 
Elimu sio ufunguo wa Ajira, bali ni Kuongeza Ujuzi tu kwahio kutoka kimaisha na kupata cheti / stashahada sio direct proportional ingawa sidhani kama elimu itampunguzia kupigika kama atapigika (ni heri upigike na elimu yako)

Kwani alternative ni zipi? Kuliko kukaa kitaa ni bora akaongeze huo ujuzi huku anapata exposure
 
Ni kati ya vyuo credible sana kupata kazi serikalini. Sijui kwa sasa na anasomea kozi gani.
 
Elimu sio ufunguo wa Ajira..., bali ni Kuongeza Ujuzi tu kwahio kutoka kimaisha na kupata cheti / stashahada sio direct proportional ingawa sidhani kama elimu itampunguzia kupigika kama atapigika (ni heri upigike na elimu yako)

Kwani alternative ni zipi ? kuliko kukaa kitaa ni bora akaongeze huo ujuzi huku anapata exposure
Duh
 
Nasikia huko wanaimba kwaya sana, kwa ushauri asome fani zinazomuachia ujuzi
 
Nimemleta mtoto wa ndugu yangu hapa kuripoti tawi lao la Mtwara, dogo alinyoosha dv 2 safi ila wamempanga kuanza cheti hapa.

Ila kwa kweli sijui kama hichi chuo kipo vizuri kwa kweli au ndio mambo ya kupoteza muda tu.
Hata kama hamumpendi mshaurini basi jamani.
 
Nimemleta mtoto wa ndugu yangu hapa kuripoti tawi lao la Mtwara, dogo alinyoosha dv 2 safi ila wamempanga kuanza cheti hapa.

Ila kwa kweli sijui kama hichi chuo kipo vizuri kwa kweli au ndio mambo ya kupoteza muda tu.
Huyo utatoa mtendaji wa kijiji vizuri sana.
 
Nimemleta mtoto wa ndugu yangu hapa kuripoti tawi lao la Mtwara, dogo alinyoosha dv 2 safi ila wamempanga kuanza cheti hapa.

Ila kwa kweli sijui kama hichi chuo kipo vizuri kwa kweli au ndio mambo ya kupoteza muda tu.
Hii Ordinary Diploma in Secretarial Studies (ODSS) – NTA 5 & 6 nafikiri kozi bora kwa chuo kutokana kurekebisha mitaala yao ! Pitia pdf chini.
 

Attachments

Nimemleta mtoto wa ndugu yangu hapa kuripoti tawi lao la Mtwara, dogo alinyoosha dv 2 safi ila wamempanga kuanza cheti hapa.

Ila kwa kweli sijui kama hichi chuo kipo vizuri kwa kweli au ndio mambo ya kupoteza muda tu.
Kozi ambazo nitamshauri mtu asome kwenye hii tz ya viwonder..

1. Kozi za uhandisi na teknolojia

2. Sheria

3. Uhasibu/biashara

4. Afya

Nje ya hapo kazi unayo unless uje ujiajiri badae nje ya kozi uliyo somea
 
Kozi ambazo nitamshauri mtu asome kwenye hii tz ya viwonder..

1. Kozi za uhandisi

2. Sheria

3. Uhasibu/biashara

4. Afya

Nje ya hapo kazi unayo unless uje ujiajiri badae nje ya kozi uliyo somea
Tunaomba chaguo moja hapo mbona umegusia zote.
 
Kozi ambazo nitamshauri mtu asome kwenye hii tz ya viwonder..

1. Kozi za uhandisi na teknolojia

2. Sheria

3. Uhasibu/biashara

4. Afya

Nje ya hapo kazi unayo unless uje ujiajiri badae nje ya kozi uliyo somea

Pamoja na hayo lakini kila mtu anabahati yake kulingana na kudra za mungu....wapo waalimu mtu anamaliza na kazi anapata ndani ya huohuo mwaka tena international schools kabisa na anapiga mkwanja mrefu tuu
 
Back
Top Bottom