Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Bado saa kadhaa kuelekea Kariakoo Derby!
Mechi ya miamba wa soka la Tanzania (Yanga SC vs Simba SC) inakaribia, na Hans Rafael mchambuzi wa Soka ametengeneza muunganiko wa kikosi cha kwanza kwa kuzingatia form na balance kuelekea mtanange huo.
Hans Rafael - Crown FM
Naomba kuona Kikosi chako cha muunganiko (Yanga vs Simba) kwenye Comment…👇🏽👇🏽
Bado saa kadhaa kuelekea Kariakoo Derby!
Mechi ya miamba wa soka la Tanzania (Yanga SC vs Simba SC) inakaribia, na Hans Rafael mchambuzi wa Soka ametengeneza muunganiko wa kikosi cha kwanza kwa kuzingatia form na balance kuelekea mtanange huo.
Hans Rafael - Crown FM
Naomba kuona Kikosi chako cha muunganiko (Yanga vs Simba) kwenye Comment…👇🏽👇🏽