Mechi ya miamba wa soka la Tanzania (Yanga SC vs Simba SC) inakaribia, na Hans Rafael mchambuzi wa Soka ametengeneza muunganiko wa kikosi cha kwanza kwa kuzingatia form na balance kuelekea mtanange huo.
Hans Rafael - Crown FM
Naomba kuona Kikosi chako cha muunganiko (Yanga vs Simba) kwenye Comment…👇🏽👇🏽
Ili kuleta balance ya kikosi uko sahihi ila kuna watu watabisha sabu watangalia tu form ya mchezaj mmoja mmoja bila balance nd hapo unakuta una timu ina ma PRO weng afu haipati mataji makubwa