Hiki Kichwa Cha Nyumbu Hata Sio Mwendawazimum

Hiki Kichwa Cha Nyumbu Hata Sio Mwendawazimum

Kop0

Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
76
Reaction score
111
Huu mpira nilioona leo umenisikitisha sana. Kweli Mashindano makubwa kama haya na dunia nzima inaangalia mnafanya mzaha kama huu?
 
Tulishakubaliana.... Kukua katika Soka ni process yaani Mchakato...!

Kwanza tumeanza kwa Kufanikiwa kushiriki Afcon.!

Kifuatacho ni kuhakikisha kuwa tunashiriki shiriki mara nyingi nyingi hii hatua..!

Baada ya hapo ndio tufikirie kuanza kuwafunga funga Wale ambao tumewakuta hatua ni Wazoefu kama Morocco na Zambia.!

Tatizo WaTZ mnataka mmeingia Leo,Leo Leo mjione mmekatiza makundi, robo ,nusu fainali na mpo Fainali.... ! Kumbukeni Hii michuano sio kama CAF shirikisho(CAF CC).

Ndio maana CAF wameifutilia mbali.. CAF CC...
 
Back
Top Bottom