A
Anonymous
Guest
Kulingana usaili unaoendelea wa idara ya Afya kupitia PSPR mikoani.
Kumekuwa na hali isiyo ya uwazi katika kutenda haki ili kupata wasailiwa wenye vigezo vya kuajiriwa.
Kwanza katika mchakato wa ufanyaji mtihani wa usaili hakuna maelezo yakueleweka toka PSPR ni kiwango gani cha ufaulu wa marks kinatakiwa ili mtahiniwa awe amefaulu kwenda hatua inayofuata
Kwani baadhi wamekuwa selected kwa ufaulu wa 58, 71, 82, na 86.
Kwakuwa wanahitaji ushindani ni vema wabainishe ni kiwango kipi cha ufaulu wanakihitaji.
Kumekuwa na hali isiyo ya uwazi katika kutenda haki ili kupata wasailiwa wenye vigezo vya kuajiriwa.
Kwanza katika mchakato wa ufanyaji mtihani wa usaili hakuna maelezo yakueleweka toka PSPR ni kiwango gani cha ufaulu wa marks kinatakiwa ili mtahiniwa awe amefaulu kwenda hatua inayofuata
Kwani baadhi wamekuwa selected kwa ufaulu wa 58, 71, 82, na 86.
Kwakuwa wanahitaji ushindani ni vema wabainishe ni kiwango kipi cha ufaulu wanakihitaji.