Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Bustani ya maua au majani ya mabogaHizo mvua zinanyesha wapi wakuu?
Mvua zikinyesha limeni wazeni kuhusu kilimo cha muda mfupi sio muwaze kilimo cha miezi 9. Limeni hata michicha.
Wachanganye hata na chainizi na pilipili kichaa, kilimo kinalipaBustani ya maua au majani ya maboga
Tunalima huku nilipo mvua mda huu inanyesha nimelala peke yangu demu nampanga anarukaHizo mvua zinanyesha wapi wakuu?
Mvua zikinyesha limeni wazeni kuhusu kilimo cha muda mfupi sio muwaze kilimo cha miezi 9. Limeni hata michicha.
Sasa si ukanunueTunalima huku nilipo mvua mda huu inanyesha nimelala peke yangu demu nampanga anaruka
Kweli ngoja nimtafute bamedi hapa jirani anikopeshe uroda nitamlipa nikipata kamshaharaNyege haijawahi kumuacha mtu salama angalia usije ukachafua ukuta
Kupigana miti au sio? Including youThis is the only thing we Africans are excellent at 😐😐
Km upo ufukweni sawaKweli ngoja nimtafute bamedi hapa jirani anikopeshe uroda nitamlipa nikipata kamshahara
Muwe wavumilivu hadi kauli yenu ya KATAA NDOA ikomae vizuri. Mola awarehemu.Za asubuhi waungwana.
Hiki kipindi kinahamasisha mgegedo walio kwenye ndoa kipindi hiki wanatupiga bao kwa maana wao mgegedo ni uhakika.
Lakini kwa sisi kataa ndoa hali ni mbaya demu unampanga hapangiki akija leo kurudi tena hadi wiki ipite nataka nirudi kwenye mrenda wa uvuguvugu. Hali ni mbaya mdada anayesumbuliwa na baridi aje tuzungumze pm.
Ikikatika shika jembe ukalime mkuuTunalima huku nilipo mvua mda huu inanyesha nimelala peke yangu demu nampanga anaruka
Hapa nina wiki ya pili sijagegeda kichupa kimejaaWachanganye hata na chainizi na pilipili kichaa, kilimo kinalipa
NilishapandaIkikatika shika jembe ukalime mkuu
Aisee baridi ni kali, acha tupande watoto, hakuna namna🐼Hizo mvua zinanyesha wapi wakuu?
Mvua zikinyesha limeni wazeni kuhusu kilimo cha muda mfupi sio muwaze kilimo cha miezi 9. Limeni hata michicha.
Niliapa sitokula mabamedi ngoja nimpigieMuwe wavumilivu hadi kauli yenu ya KATAA NDOA ikomae vizuri. Mola awarehemu.
Kwa nini unasema hivoKm upo ufukweni sawa
Angalia usichafue ukuta huoKwa nini unasema hivo