mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
Diamond kakurupukaje?
pale Wasafi media mambo kimenejimenti anayafanya Diamond?Unafikir mess ukimtoa Barcelona ukampeleka Everton atashinda makombe Kama Barcelona au ata parfom Kama Barcelona mfano wa diamond ni Kama ligi ya China inatumia hela nyingi mipango zero
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hayo majina yanakusumbua nini mkuu si vinogesho tu au unayako kiongozi!!!alafu hii style yao ya kiboya ya kujiita kiungo mkata sijui nini!...beki, namba 9 sijui nini! nani kawaambia ndiyo swaga!? waache uduwanzi hawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
pale Wasafi media mambo kimenejimenti anayafanya Diamond?
sikujua,najua yeye ni shareholder tu.wanameneji watu wengine wataalamu wa marketing. una hakika? isije kuwa ndo umekariri kwa kutokujua kwako unashindwa kutofautisha mwana hisa na menejiment
sikujua,najua yeye ni shareholder tu.wanameneji watu wengine wataalamu wa marketing. una hakika? isije kuwa ndo umekariri kwa kutokujua kwako unashindwa kutofautisha mwana hisa na menejiment
vinogosho gan...wakati wengine tunawajua hata chandim utata yanSasa hayo majina yanakusumbua nini mkuu si vinogesho tu au unayako kiongozi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anajua mpira...Anajua lugha za mpira na anaupenda mpira...anahisia pia na mpira wenyewe jamaa asipokuwepo Mara nyingi kipindi kinaboa...Kudos kwake AmbangileHuyu jamaa nimehama naye toka Magic FM, nikijua hayupo sina muda.
Huyu hata akiielezea Kivumbi Cup anaielezea mpaka unaielewa.