Hiki 'Kirusi' naona sasa kinaanza 'Kuzoeleka' kwa Watanzania

Hiki 'Kirusi' naona sasa kinaanza 'Kuzoeleka' kwa Watanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani kukitokea Jambo fulani baya (hasa la Kiserikali) na (Kiutawala) kwa nchi ya Tanzania utaona wanaokuja Kulijibia (kulitolea Ufafanuzi) watajibu huku wakililinganisha (weka Reference) na nchi nyingine kuwa na Wao Kwao limetokea ili tu Kulizima na kulifanya lionekane la Kawaida hivyo lisijadiliwe kwa sana.

Mfano kuna Timu Moja nchini Tanzania (GENTAMYCINE nimeisahau) juzi tu Wamefurumushwa Klabu Bingwa Afrika na badala ya Kukubali kuwa hawana Uwezo Watu wao walichokijibu ni kwamba mbona hata Klabu Kubwa, Bingwa na Tajiri ya Congo DR TP Mazembe FC nao wametolewa na Vipers FC ya Uganda?
 
Mimi sio shabiki wa Simba na Yanga.

Nimefungua hii post kumbe ni mambo ya kiboya nikajua ni habari mhimu. Watanzania wengi sasa wameathirika na mambo ya Simba, Yanga, CCM na CHADEMA.

Watu siku nzima wanabishana mambo ya Yanga na Simba wengine hadi uwezo wa kufikiri umepungua.
 
Wako tena mikononi mwa waarabu wa misri, wakivuka hapo mjadala utabadili
 
Mimi sio shabiki wa Simba na Yanga.
Nimefungua hii post kumbe ni mambo ya kiboya nikajua ni habari mhimu.
Watanzania wengi sasa wameathirika na mambo ya Simba, Yanga, CCM na CHADEMA.

Watu siku nzima wanabishana mambo ya Yanga na Simba wengine hadi uwezo wa kufikiri umepungua.
Nakazia
 
Back
Top Bottom