Hiki kisa kilinifanya nimchukie Nape na nilikuwa tayari kuwapiga ngumi Usalama wa Taifa

Hiki kisa kilinifanya nimchukie Nape na nilikuwa tayari kuwapiga ngumi Usalama wa Taifa

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Miaka kumi iliyopita,nikiwa jijin Dar kwa makonda henzi hizo yy nadhani alikuwa bado yupo koromje.

Ilikuwa siku ya jumamosi,nilifika pale kijitonyama enzi hizo kulikuwa na bar moja iliitwa Breakpoint.

Nikiwa pale na washikaji zangu ilikuwa mida ya saa mbili asubuh,enzi hizo Break Point ilikuw bar kubwa sanaa. Tukiwa tunakula zetu mtori mtam alifika Nape na wenzake wakaagiza Mtor kama sisi.

Baada ya kunywa mtor bahat mbaya Nape kama mnavo jua watu wenye vibur vya madaraka hata ulaji wao huwa ni wa kimajivuno.

Wakat Nape akiwa anakula alijidodonsshea mtori kweny shat yake nyeupe.

Ilibidi amuite muudumu ili amletee Tishu ajifte haraka,yule mhudum alipofika Nape akamwambia amletee tishu haraka.

Yule mhudum ikabidi achukue na oda za wateja wengine nikiwemo mimi sasa nikimwagiza bia enzi hizo nilikuwa nakunywa SAFAR LAGA.pumzika Safari Laga.nakumis ila ndo hivyo sikunywi tena.

Yule dada alimletea Nape Tishu ndani ya dakika tano au kumi hivi Nape alikasirika sana na kuamua kumzaba kibao yule Mhudumu.

Kwa wale wakongwe wa Dar pengine tukimuondoa mkuu wenu wa mkoa,nadhani mtakuwa mnaikumnuka hiyo hiyo Bar ilikuwa Bar yenye wahudumu walio jielewa sana na ulikuwa unashangaa kuona mhdum wa bar alikuwa anapaki gar pembeni gar ya maana na anaingia kazini.

Sasa Nape siku hiyo aliingia kweny anga za mhudum aliejitambua hakkujar cheo wala nn alimkunja Nape ndipo vijana ambao wanaitwa usalama wa taifa wakaingilia kati.

Nakumbuka wale vijana walimkwida yule mhudum na mm sikuangalia ni nani wala nini niliingilia kati na kuwataka wamwache atwangane na Nape ili wapeane heshima.

Enzi hizo bwana mkubwa alikuwa katibu mwenezi wa chama chao cha mapinduzi

Kusema kweli ni mapenzi ya Mungu nilimchukia Nape mpaka leo stakagi hata kumuona.

Ipo siku ntaelezea jinsi ambavyo nilitaka kumpiga makonda kwenzi ila usalama akanizuia,hiv wew msomaji wangu wajua hapa Tanzania kuna wakati usalama wa taifa walijua kuwa kazi yao ni kuwalinda wanaccm tu hasa viongozi
 
Sasa wewe ulifanikiwa kujua ugomvi wa Nape, Je unajua ugomvi wa wengine?
Wengine wanatumia risasi kuwatwanga mahasimu wao au huenda kwa waganga kabisa kuwaroga!
Hakuna aliye mkamilifu, ugomvi mdogo mdogo wa bar hutokea sometimes, usiumize kichwa sana
 
enzi hizo alikuwa kwenye kundi la '' wenye injiii'''.
Ila mkuu mbona mambo madogo hayo huwezi kupotezea, nilidhani alikuchukulia mke.
 
hivi huwa inakuwaje unachapwa kofi,sawa nachapwa kofi inawezekana ni kwa kushtukiza bila kutegemea,ila my friend kama hijawahi kuzimia,ujue ndio siku hiyo imefika.
 
Unaweka kumbukumbu ya vitu vidogovidogo kama kama sio mwanaume bana.. kitukio kimoja cha kumwagiana mtori baa kimekukaa kwenye ubongo kwa miaka yote hiyo je ungeshuhudia ditopile akimtwanga shaba na kumuua dereva wa daladala si ubongo wako ungekua unatiririka jasho kila siku
 
Miaka kumi iliyopita,nikiwa jijin Dar kwa makonda henzi hizo yy nadhani alikuwa bado yupo koromje.

Ilikuwa siku ya jumamosi,nilifika pale kijitonyama enzi hizo kulikuwa na bar moja iliitwa Breakpoint.

Nikiwa pale na washikaji zangu ilikuwa mida ya saa mbili asubuh,enzi hizo Break Point ilikuw bar kubwa sanaa. Tukiwa tunakula zetu mtori mtam alifika Nape na wenzake wakaagiza Mtor kama sisi.

Baada ya kunywa mtor bahat mbaya Nape kama mnavo jua watu wenye vibur vya madaraka hata ulaji wao huwa ni wa kimajivuno.

Wakat Nape akiwa anakula alijidodonsshea mtori kweny shat yake nyeupe.

Ilibidi amuite muudumu ili amletee Tishu ajifte haraka,yule mhudum alipofika Nape akamwambia amletee tishu haraka.

Yule mhudum ikabidi achukue na oda za wateja wengine nikiwemo mimi sasa nikimwagiza bia enzi hizo nilikuwa nakunywa SAFAR LAGA.pumzika Safari Laga.nakumis ila ndo hivyo sikunywi tena.

Yule dada alimletea Nape Tishu ndani ya dakika tano au kumi hivi Nape alikasirika sana na kuamua kumzaba kibao yule Mhudumu.

Kwa wale wakongwe wa Dar pengine tukimuondoa mkuu wenu wa mkoa,nadhani mtakuwa mnaikumnuka hiyo hiyo Bar ilikuwa Bar yenye wahudumu walio jielewa sana na ulikuwa unashangaa kuona mhdum wa bar alikuwa anapaki gar pembeni gar ya maana na anaingia kazini.

Sasa Nape siku hiyo aliingia kweny anga za mhudum aliejitambua hakkujar cheo wala nn alimkunja Nape ndipo vijana ambao wanaitwa usalama wa taifa wakaingilia kati.

Nakumbuka wale vijana walimkwida yule mhudum na mm sikuangalia ni nani wala nini niliingilia kati na kuwataka wamwache atwangane na Nape ili wapeane heshima.

Enzi hizo bwana mkubwa alikuwa katibu mwenezi wa chama chao cha mapinduzi

Kusema kweli ni mapenzi ya Mungu nilimchukia Nape mpaka leo stakagi hata kumuona.

Ipo siku ntaelezea jinsi ambavyo nilitaka kumpiga makonda kwenzi ila usalama akanizuia,hiv wew msomaji wangu wajua hapa Tanzania kuna wakati usalama wa taifa walijua kuwa kazi yao ni kuwalinda wanaccm tu hasa viongozi
Watu wamajivuno hawatufai jamani$
 
KUFUATA SHERIA NI UNGESE TU.....piga nakoz boya lolote linalo zingua
 
Unaweka kumbukumbu ya vitu vidogovidogo kama kama sio mwanaume bana.. kitukio kimoja cha kumwagiana mtori baa kimekukaa kwenye ubongo kwa miaka yote hiyo je ungeshuhudia ditopile akimtwanga shaba na kumuua dereva wa daladala si ubongo wako ungekua unatiririka jasho kila siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We nae ulikaa tu dada wa watu anaonewa? Mi ningekuwepo huyo Nape angekula za chembe kidevu mbele ya hao mgambo wake.
 
Miaka kumi iliyopita,nikiwa jijin Dar kwa makonda henzi hizo yy nadhani alikuwa bado yupo koromje.

Ilikuwa siku ya jumamosi,nilifika pale kijitonyama enzi hizo kulikuwa na bar moja iliitwa Breakpoint.

Nikiwa pale na washikaji zangu ilikuwa mida ya saa mbili asubuh,enzi hizo Break Point ilikuw bar kubwa sanaa. Tukiwa tunakula zetu mtori mtam alifika Nape na wenzake wakaagiza Mtor kama sisi.

Baada ya kunywa mtor bahat mbaya Nape kama mnavo jua watu wenye vibur vya madaraka hata ulaji wao huwa ni wa kimajivuno.

Wakat Nape akiwa anakula alijidodonsshea mtori kweny shat yake nyeupe.

Ilibidi amuite muudumu ili amletee Tishu ajifte haraka,yule mhudum alipofika Nape akamwambia amletee tishu haraka.

Yule mhudum ikabidi achukue na oda za wateja wengine nikiwemo mimi sasa nikimwagiza bia enzi hizo nilikuwa nakunywa SAFAR LAGA.pumzika Safari Laga.nakumis ila ndo hivyo sikunywi tena.

Yule dada alimletea Nape Tishu ndani ya dakika tano au kumi hivi Nape alikasirika sana na kuamua kumzaba kibao yule Mhudumu.

Kwa wale wakongwe wa Dar pengine tukimuondoa mkuu wenu wa mkoa,nadhani mtakuwa mnaikumnuka hiyo hiyo Bar ilikuwa Bar yenye wahudumu walio jielewa sana na ulikuwa unashangaa kuona mhdum wa bar alikuwa anapaki gar pembeni gar ya maana na anaingia kazini.

Sasa Nape siku hiyo aliingia kweny anga za mhudum aliejitambua hakkujar cheo wala nn alimkunja Nape ndipo vijana ambao wanaitwa usalama wa taifa wakaingilia kati.

Nakumbuka wale vijana walimkwida yule mhudum na mm sikuangalia ni nani wala nini niliingilia kati na kuwataka wamwache atwangane na Nape ili wapeane heshima.

Enzi hizo bwana mkubwa alikuwa katibu mwenezi wa chama chao cha mapinduzi

Kusema kweli ni mapenzi ya Mungu nilimchukia Nape mpaka leo stakagi hata kumuona.

Ipo siku ntaelezea jinsi ambavyo nilitaka kumpiga makonda kwenzi ila usalama akanizuia,hiv wew msomaji wangu wajua hapa Tanzania kuna wakati usalama wa taifa walijua kuwa kazi yao ni kuwalinda wanaccm tu hasa viongozi
Jamaa unaonekana zamoyoni kweli,sa ishu ndogo km hiyo ndo uje umfungulie uzi Nape?👿
 
SASA WEWE UNAOGOPA WAHUDUMU WA BAR KISA WANAPAKI MAGARI??? acha ushamba basi aisee...
 
Hivi nyie usalama wa taifa mnawajua au mnawasikia? Kujiamini kupitiliza ni janga

Tena kama hapo walipokuwa Usalama zaidi ya mmoja ungerusha ngumi yangekukuta makubwa

Kuna dogo mmoja wa Usalama wa taifa ilikuwa Disco Musoma hiyo miaka ya nyuma kipindi cha JK ana mwili mdogo mdogo unaweza mdharau kabisa ila zilizuka ngumi alipiga watu unaweza sema anatumia uchawi walipigwa watu tifu lilikuja kuzimika wameshapotea
 
Hivi nyie usalama wa taifa mnawajua au mnawasikia? Kujiamini kupitiliza ni janga

Tena kama hapo walipokuwa Usalama zaidi ya mmoja ungerusha ngumi yangekukuta makubwa

Kuna dogo mmoja wa Usalama wa taifa ilikuwa Disco Musoma hiyo miaka ya nyuma kipindi cha JK ana mwili mdogo mdogo unaweza mdharau kabisa ila zilizuka ngumi alipiga watu unaweza sema anatumia uchawi walipigwa watu tifu lilikuja kuzimika wameshapotea
kwahyo we unadhani usalama ndo wanajua ngumi peke yao..hahaaaaa kuna watu mtaani wanapga ngumi kama sifa babu..hao alijipigia mazumbukuku yasiyojua mkono NB:naungana nawewe kama mtu hajui ngumi asiwarushie awa jamaa maana ataulaumu mkono wake kwanini ulinyooka kutoka kwapani
 
Back
Top Bottom