Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 247
jaman
kwenye sredi nimeeleza nani aliyeanza ni kivipi nilifanya kosa la to imitate.Kosa ni imitation za kuwa nipo na BF kumbe dada mtu
noo wasichana wengi huwa wanafanya kwa sababu ya circumtance,mfano yupo shule mwili unatamani lakini anaogopa kupoteza bikra,kupata mimba,kuwa na mpenzi cause wazazi au wenzake hawana.so hapo anapiga gemu weeeeeeee.ila muda ukifika kamaliza shule vikwazo vinaisha anakuwa tu wa kawaidaSmile ushauri ndio huo...kuna malesbo na magay wengi tu wanaishi maisha yao yote wakishindana na hisia zao za kimwili kwa sababu wanaangalia jamii inayowazunguka in maadili gani na itawachukuliaje. sasa Marytina aamue kuishi kinafiki na kudeny hisia zake..au atii hisia zake!
si anaitwa marytina?nikuite lesbian au shemale????
my dear, na hii niliiona boarding kwa sana, na mabifu ya kunyang'anyana kabisa watu wanagombea basha! lakini trust me, huwa wana-pretend kama alivyosema riwa hapo juu. kuna mmoja tulikuwa same class, alikuja kuolewa marekani, after a year wameachana. we ar still friends, u cant tell kama ana kitabia hicho na hamuongelei mumewe hata siku moja. recently ameanza kuhang na mdada waliekuwa wanasagana tukiwa o-level, na huyo mdada ni single mother. tuna urafiki wa kistaarabu we never pry on each other's business, lakini for them going camping together ni kawaida. nikipata invitation i politely decline, maisha yanaendelea
Yaani shemejio ukalale naye kitanda kimoja?? Kwako huna makochi sebuleni?
Marytina ama kweli
Duh Tausi una kumbukumbu aiseee dah uko juu wala si wengine hatukumbuki tukufunika ni jumlaSiyo wewe uliyesema boyfriend wako ni jambazi mwenye mshiko?Ukawa unataka ushauri?
Nisamehe kama nimekosea.
Kweli huu mwisho wa mwaka!Domo langu limejaa mate!
ok wewe ndiye star wa jukwaa la science and technology.
wapi kwenye hii sredi nilipomegwa???????
kweli boss mimi ni shaidi no moja mimi namshangaa martina sema ni vile alifanya na mtu wa karibu ndo maana inamtesa
mueleweshe Gaijinh
hajui kuwa haya mambo ni too common these days...
Tusamehe bana wengine akili zetu za kugandisha na mate, upepo ukipita tu, zimeganduka.Nyie mbona wagumu kuelewa? si mmesha ambiwa alikuwa mdogo wa kike wa bf wake?