Nashukuru kwa salamu, afu deskmate hajafika shule coz alikuwa kwenye maombi spesho...muombee ruhusa kwa mwalimu wa darasa manake hatafika wiki nzima, sawa eeh?Ameen Deskmate. Mbona hujaonekana shule? au ni mafuriko yamekuziwia?
Nakusalim pia Sweet (o so sweet) Lady. hahahaha
Hahahahaha, haya bwana!
Anatafuta kisa chengine akikipata atarejea vuta subira.Marytina kaenda wapi? hajajibu swali langu!!!
Nimeona love, yaani haka kaujauzito tulivokesha kukatengeneza kangeharibika ingekuwa ni pigo kitaifa kama sio kimataifa....lol
Wiki nzima???? hiyo ni shida sasa maana natumia pensili yake darasani... sasa itakuaje? Nitammiss kweli. Ngoja niulize ulize basi nione nani mngine atanipa...Nashukuru kwa salamu, afu deskmate hajafika shule coz alikuwa kwenye maombi spesho...muombee ruhusa kwa mwalimu wa darasa manake hatafika wiki nzima, sawa eeh?
Na wewe mbona haujajibu langu?Marytina kaenda wapi? hajajibu swali langu!!!
hujambo sweetie? Nakumisssooooo!Marytina mie siku hizi nakufananisha sana na Nazjaz.( utanisamehe bt huo ndio ukweli halisi ) manake ukipotea ukirudi una story za ajabu, ajabu. Hazina tofauti na za Nazjaz.
Siyo wewe uliyesema boyfriend wako ni jambazi mwenye mshiko?Ukawa unataka ushauri?
Nisamehe kama nimekosea.
Wiki nzima???? hiyo ni shida sasa maana natumia pensili yake darasani... sasa itakuaje? Nitammiss kweli. Ngoja niulize ulize basi nione nani mngine atanipa...
Nitamfikishia Mwalimu ujumbe, mwambie deskmate aniombee na mimi nipate penseli yangu rasmi.
mmmhhh???
Wacha ku-generalize bwana! too common maana yake nini?
Pole Marityna...
Sijambo mwaya. Nakumiso pia, haya mafuriko bana yanafanya wapendwa twapotezana....hujambo sweetie? Nakumisssooooo!
Hautoogopa kulala pekeako?asante shosti
kwa kikisema najisikia nafuu sana nadhani usiku wa leo ntalala poa
What's up Marytina. How you been?
Atashea kwa ruhusa ya nani? Manake mie sijamruhusu...honey umeanza kunikera eeh?Hamna penseli rasmi, utashea hii hii
Marytina, labda nikuulize kidogo maana nashindwa kuamini kua hukujua kitakacho tokea:
Mlipoingia kitandani kulala, ulikua umevaa? maana inaonekana alifikia chuchu laki kiurahisi tu...
Taratibu bana, wengine tuna majonzi vitanda vimesombwa na mafuriko...
usizunguke zunguke hapa. inamaana ungekuwa na shemeji yako wa kiume akasema tu imitate, ungeingia hiyo imitation?. halafu huoni aibu kusema aliyeanza ni nani. inanikumbusha kitabu cha mwanzo, wakati wa anguko la mwanadamu- eti yeye ndiye alianza
napokaa na kuiwazia dhambi ya kusagana
najihisi nina dhambi kumzidi OSAMA