Wana JF
Muoneni huyu dada ambaye alianza kusema hivi:
Sikia Chip, wewe unanifamu long time na mahusiano yetu kwa kiwango kikubwa unayafahamu. Sijamkosea Josh wala kumfanyia hiyana yoyote ile, hata yeye mwenyewe hajanikosea hata siku moja.
Josh ananijua tangu sekondari na hata nilipomaliza shule na matokeo kuwa mabaya ni yeye alinipeleka chuo akisaidiana na wazazi wangu hadi nikamaliza ngazi ya cheti.
Pia diploma ni yeye ndiye aliyefanya kazi kubwa mpaka nikamaliza na akanishauri niende kusoma shahada kabla ya kuanza kazi nikaona ni jambo jema.
Nikaprocess chuo nikapata huku Dar na kwa kuwa nilibahatika kupata mkopo full niliona nisimsumbue kuhusu fedha na hasa kwakuwa alikuwa amekwisha introduce swala la ndoa, nikaona nimpe nafasi ya kujipanga vizuri.
Kinachoniuma hadi leo hii ni kuwa kilitokea kidudu mtu kikavunja penzi langu ghafla na wakafunga ndoa na mpenzi wangu Josh ambaye nilitaraji aje kuwa mume wangu mpendwa. Tukio hili sielewi lipangwa muda mrefu au limetokea ghafla mana tulikuwa bado tupo close sana mpaka nilipokuja ambiwa kuwa mwenzio anaoa sikuamini na sijaamini bado.
Sasa basi, kwa kuwa bado nampenda mpenzi wangu na najua na yeye bado ananipenda na isitoshe yeye ndiye aliyefanikisha kunifikisha hapa nilipo ambapo ndiyo ninamalizia degree yangu ya kwanza this June.
Ni hivi nikitoka hapa (kumaliza chuo), nahakikisha naivunjiliako mbali ile ndoa na kisha naolewa mimi, Josh anajua kupenda, anajua kutunza, anajua kubembeleza, anajua kitandani unahitaji nini pia ni mwaminifu saana thus why naamini labda kashinikizwa kuoa haraka au kuna mchezo wa giza kachezewa. So! Nina sababu gani ya kumpoteza? Kama ni huruma kwa nini huyo mwanamke mwenzangu asingenionea mimi huruma kwani anatujua vizuri saaana.
Josh bado ananipenda thus why haishi kunijulia hali na pindi ninapokutana nae akiwa na huyo mkewe wa sasa huwa anshtuka na kufadhaika sana, zaidi ya yote anaonekana kuijutia hiyo ndoa ingawa anashindwa kuongea kwani amepungua sana na inaonekana hawaelewani vyema na mkewe.
Ni lazima Josh aje kuwa mume wangu, kanitoa usichana, sijamjua mwingine till now na sihitaji kumjua yeyote zaidi ya Josh
Tujaribu kumshauri jamani.
Muoneni huyu dada ambaye alianza kusema hivi:
Sikia Chip, wewe unanifamu long time na mahusiano yetu kwa kiwango kikubwa unayafahamu. Sijamkosea Josh wala kumfanyia hiyana yoyote ile, hata yeye mwenyewe hajanikosea hata siku moja.
Josh ananijua tangu sekondari na hata nilipomaliza shule na matokeo kuwa mabaya ni yeye alinipeleka chuo akisaidiana na wazazi wangu hadi nikamaliza ngazi ya cheti.
Pia diploma ni yeye ndiye aliyefanya kazi kubwa mpaka nikamaliza na akanishauri niende kusoma shahada kabla ya kuanza kazi nikaona ni jambo jema.
Nikaprocess chuo nikapata huku Dar na kwa kuwa nilibahatika kupata mkopo full niliona nisimsumbue kuhusu fedha na hasa kwakuwa alikuwa amekwisha introduce swala la ndoa, nikaona nimpe nafasi ya kujipanga vizuri.
Kinachoniuma hadi leo hii ni kuwa kilitokea kidudu mtu kikavunja penzi langu ghafla na wakafunga ndoa na mpenzi wangu Josh ambaye nilitaraji aje kuwa mume wangu mpendwa. Tukio hili sielewi lipangwa muda mrefu au limetokea ghafla mana tulikuwa bado tupo close sana mpaka nilipokuja ambiwa kuwa mwenzio anaoa sikuamini na sijaamini bado.
Sasa basi, kwa kuwa bado nampenda mpenzi wangu na najua na yeye bado ananipenda na isitoshe yeye ndiye aliyefanikisha kunifikisha hapa nilipo ambapo ndiyo ninamalizia degree yangu ya kwanza this June.
Ni hivi nikitoka hapa (kumaliza chuo), nahakikisha naivunjiliako mbali ile ndoa na kisha naolewa mimi, Josh anajua kupenda, anajua kutunza, anajua kubembeleza, anajua kitandani unahitaji nini pia ni mwaminifu saana thus why naamini labda kashinikizwa kuoa haraka au kuna mchezo wa giza kachezewa. So! Nina sababu gani ya kumpoteza? Kama ni huruma kwa nini huyo mwanamke mwenzangu asingenionea mimi huruma kwani anatujua vizuri saaana.
Josh bado ananipenda thus why haishi kunijulia hali na pindi ninapokutana nae akiwa na huyo mkewe wa sasa huwa anshtuka na kufadhaika sana, zaidi ya yote anaonekana kuijutia hiyo ndoa ingawa anashindwa kuongea kwani amepungua sana na inaonekana hawaelewani vyema na mkewe.
Ni lazima Josh aje kuwa mume wangu, kanitoa usichana, sijamjua mwingine till now na sihitaji kumjua yeyote zaidi ya Josh
Tujaribu kumshauri jamani.