Mkeo? kama jibu si mkeo. Jiulize wewe ulimpataje wenzako washindwe. Jiulize kama hamjaoana kihalali, iwe kimila, kiserikali au kidini na akaweza kukufungulia kufuli kwanini asiweze kumfungulia mwengine? hali kadhalika na wewe kama umeweza kumfugulia yeye kufuli pasipo na halali iweje leo ulalamike?
Kula uliwe!
mkuu,hayo maneno yako yananichoma.
Mkeo? kama jibu si mkeo. Jiulize wewe ulimpataje wenzako washindwe. Jiulize kama hamjaoana kihalali, iwe kimila, kiserikali au kidini na akaweza kukufungulia kufuli kwanini asiweze kumfungulia mwengine? hali kadhalika na wewe kama umeweza kumfugulia yeye kufuli pasipo na halali iweje leo ulalamike? Kula uliwe!
yaani mziki tu ndio ukuweke roho juu???:redface:
Mkeo? kama jibu si mkeo. Jiulize wewe ulimpataje wenzako washindwe. Jiulize kama hamjaoana kihalali, iwe kimila, kiserikali au kidini na akaweza kukufungulia kufuli kwanini asiweze kumfungulia mwengine? hali kadhalika na wewe kama umeweza kumfugulia yeye kufuli pasipo na halali iweje leo ulalamike?
Kula uliwe!
Na wa kwako analiwa, safi sana
Kula uliwe, mie ukitaka hata tu share "threesome" unakaribishwa, mradi "kula uliwe"!
Mtu wa aina hii ukimkuta katikati ya familia anaonekana mwenye hekima, tena mtetezi wa imani yake hakuna mfano..........hizi ID zimetusaidia sana!
Kumbe anakusema na mwenyewe upo?!
Kwa hiyo we mama unaona ni sahihi kukatikia viuno majukwaani eeeh? Kweli kazi ipo
Na wewe mwenye kuuliza uhalali, ulishindwaje kuwa na demu wa maana. Hebu kula hii kwa manufaa yako:
"your hunting grounds determines your prey" Don Adolfo Alfonso Manuel Pedro
Ulitegemea nini kuchukua vicheche kama Neema?