brave_3
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 1,186
- 705
nilipita mchana mkowa wa TABORA wilaya ya IGUNGA . kuna tatizo la mgomo wa walimu . walimu wanadai mishahara ya miezi miwili . cha kushangaza ni kwamba halmashauri ya IGUNGA inasema itawalipa lakimoja kwa ajili ya kujikimu. da hii kitu imeniuma japo mimi sio mwalimu . unakuta mwalimu kapanga, chakula hajanunua na bado matumizi madogo madogo. hivi kwa hali hii elimu tanzania itakuwa kweli. ifike kipindi nayo serikali iwa angalie walimu kwa jicho la kwanza. POLENI WALIMU