Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,691
- 2,967
Habari za Jpili wana Jukwaa
Nimerudi nyumbani after church nikawa nafanya mambo wawili matatu kwa ajili ya mchana huu.
Mara jirani akagonga mlango, nikafungua.
Tukasalimiana vizuri. Alikuwa na kibakuli mkononi. Akaniomba kama nina Unga ugali nimsaidie kidogo kwenye bakuli lakke nikamjibu ninao. Akauliza ni Dona au sembe?
Nikamjibu ni Sembe. Akasema ndo mzuri. Basi nikamchotea nikampa. Baada ya muda nikaona ule unga wangu anautumia kufulia viatu vyake.
Mimi nilijua labda kakwama unga wakati anapika ugani kumbe ni unga wa Kung’arishia viatu??
Nimeumia japo ni jambo dogo. Maisha haya ni magumu sana. Tuwe na Discpline na vyakula.
Jpili njema
Push to Start
Nimerudi nyumbani after church nikawa nafanya mambo wawili matatu kwa ajili ya mchana huu.
Mara jirani akagonga mlango, nikafungua.
Tukasalimiana vizuri. Alikuwa na kibakuli mkononi. Akaniomba kama nina Unga ugali nimsaidie kidogo kwenye bakuli lakke nikamjibu ninao. Akauliza ni Dona au sembe?
Nikamjibu ni Sembe. Akasema ndo mzuri. Basi nikamchotea nikampa. Baada ya muda nikaona ule unga wangu anautumia kufulia viatu vyake.
Mimi nilijua labda kakwama unga wakati anapika ugani kumbe ni unga wa Kung’arishia viatu??
Nimeumia japo ni jambo dogo. Maisha haya ni magumu sana. Tuwe na Discpline na vyakula.
Jpili njema
Push to Start