Hiki ndicho kilichomkuta Dkt. Wilbroad Slaa

Hivi ubalozi na NCHI kipi Bora
 
Wenzako wamevurugwa hapo Lumumba 😂😂🐼

Katibu mkuu mstaafu wa TEC ni zaidi ya Vyama Vyote vya Siasa ukiviweka pamoja 😂

Three The Hardway Dr Slaa, Mwabukusi na Mdude 🔥🌟🔥

Mbeya Moja hiyooooo!
Upuuzi,kama ni zaidi ya Vyama ndio kanyolewa kapimwa mkojo kalaa selo na hakuna jipya kafanya
 
Mabalozi wa Vatican wote ni Makadinali sasa huyu siyo Askofu bali ni Padre mstaafu.
 
Huwezi kumtenganisha malaya na hela. Atatoka na mwanaume yeyote na anaweza akatumika tundu lolote.

Huyo ndiyo Dr Slaa hana tofauti na malaya wa Mrina Bar ya Arusha
 
Naona nchi hii inaongozwa na DP-WORLD kwa maelekezo. Kizimkazi Hana jipya mm na family yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…