mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Tofauti ya mkristo na mwanasayansi. Mwanasayansi anapoishia mkristo ndipo anaishia.
Kuwa mkristo ni kuamini unauwezo wa kuongea na kuvielekeza hata vitu visibyoongea na vikatii. Katika sayansi hiki kitu hakipo. Ikiwa unaamini Biblia na huamini haya, imani yako iko chini kuliko imani ya wachawi na majini kwa shetani wao.
Mchawi anaweza kumuamrisha Paka, Mbwa, Akaongea na ardhi, vumbi, miti na akaifanya ifanye anavyotaka.
Ikiwa unamuaminj Yesu alafu huamini kuwa hata mawe au nyumba au gari ukiongea nalo linakusikia. Watu wabaya wanaongea navyo vikudhuru wewe.
Ikiwa unaamini utakuwa na uwezo wa kugeuza na vikawa silaha zako za kumshindia shetani. Hata Moyo, figo, magonjwa wako unaweza kuongea nayo.
Ushahidi.
Yesu aliongea na upepo
Muda aliongea na mawe.
Yesu aliongea na homa.
Baalam aliongea na punda.
Ardhi ilimlilia kaini.
Nabii kijana aliongea na madhabau (Mawe kuni).
Biblia inasema anga linaongea. Latangaza utukufu wa Mungu .
Musa aligeuza vumbi likawa chawa.
Yesu hakutania aliposema.
Unaweza kuuambia Mlima, mkuyu ukafanya unavyotaka.
Hii ni siri kubwa. Hata magonjwa unaopoongea nayo, kama yameletwa na majini hayo majini yatapiga kelele na kuondoka. Mfano Juzi mama mmoja aliniambia anaumwa kisukari cha ghafla. Nikaanza kuongea na kisukari na kukiambia kitoke ghafla akaanza kupiga kelele. Kumbe ni tujini tumesurbotage insulin. Akawa mzima.
Ila hata kama ni cha kibaiolojia unaongea nacho. Acha watu wakuone umechizi ila Mungu anakuelewa. Kitatii na kuondoka ikiwa roho ataona vyema. Ila kumbuka wengi Mungu hatawaponya kwa sababu wanafanya kusudi kujiletea magonjwa hata kama waikipona mfumo wao wa maisha utayaleta tena. Hata usijisumbue. Wafundishe badala ya kuwachosha na maombi.
Kama umepata kitu sema amina.
Kuwa mkristo ni kuamini unauwezo wa kuongea na kuvielekeza hata vitu visibyoongea na vikatii. Katika sayansi hiki kitu hakipo. Ikiwa unaamini Biblia na huamini haya, imani yako iko chini kuliko imani ya wachawi na majini kwa shetani wao.
Mchawi anaweza kumuamrisha Paka, Mbwa, Akaongea na ardhi, vumbi, miti na akaifanya ifanye anavyotaka.
Ikiwa unamuaminj Yesu alafu huamini kuwa hata mawe au nyumba au gari ukiongea nalo linakusikia. Watu wabaya wanaongea navyo vikudhuru wewe.
Ikiwa unaamini utakuwa na uwezo wa kugeuza na vikawa silaha zako za kumshindia shetani. Hata Moyo, figo, magonjwa wako unaweza kuongea nayo.
Ushahidi.
Yesu aliongea na upepo
Muda aliongea na mawe.
Yesu aliongea na homa.
Baalam aliongea na punda.
Ardhi ilimlilia kaini.
Nabii kijana aliongea na madhabau (Mawe kuni).
Biblia inasema anga linaongea. Latangaza utukufu wa Mungu .
Musa aligeuza vumbi likawa chawa.
Yesu hakutania aliposema.
Unaweza kuuambia Mlima, mkuyu ukafanya unavyotaka.
Hii ni siri kubwa. Hata magonjwa unaopoongea nayo, kama yameletwa na majini hayo majini yatapiga kelele na kuondoka. Mfano Juzi mama mmoja aliniambia anaumwa kisukari cha ghafla. Nikaanza kuongea na kisukari na kukiambia kitoke ghafla akaanza kupiga kelele. Kumbe ni tujini tumesurbotage insulin. Akawa mzima.
Ila hata kama ni cha kibaiolojia unaongea nacho. Acha watu wakuone umechizi ila Mungu anakuelewa. Kitatii na kuondoka ikiwa roho ataona vyema. Ila kumbuka wengi Mungu hatawaponya kwa sababu wanafanya kusudi kujiletea magonjwa hata kama waikipona mfumo wao wa maisha utayaleta tena. Hata usijisumbue. Wafundishe badala ya kuwachosha na maombi.
Kama umepata kitu sema amina.