STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Macho ya Wanaume sijui yametengenezwa na
material gani, yana tamaa muda wote utadhani Simba
wa Serengeti ambaye hajala nyama wiki 2, unaweza
kuwa na demu mzuuuuriiii au mke bombaaaaaa, lakini
ukizama mtaani unakumbana na makerubi mengine
basi kope hazitulii yaani, unahisi wale wa mtaani ni wazuri zaidi wakati ukute demu wako amewazidi kila
kitu Wanaume wote tusali sala hii,
"Ee Mungu uliye
Mbinguni, tusaidie sisi tulioumbwa Wanaume tuweze
kuridhika na wanawake tulio nao, utupe mkate wetu
wa kila siku wenye JAM na chumvi kutoka kwa
Mwanamke mmoja tu, utuepushe na tamaa, na uyafanye macho yetu yatulie na sio kupepesuka kila
dakika ikipita sketi iliyotuna tuna kwa nyuma na
pembeni, Tusaidie macho yetu yasikodoe
sana, tuwapende wanawake uliotupa na wale wa nje
tuwaachie wengine" Baada ya sala hii Wanaume wote
tuseme Ameeeeen! Leo Povu Zitawatoka balaa ila ukweli ndo huu, full kugeuza
shingo tukirudi home ni kujichua na SALIMIA maana
shingo imepiga raundi mia kama Feni ya baa!
material gani, yana tamaa muda wote utadhani Simba
wa Serengeti ambaye hajala nyama wiki 2, unaweza
kuwa na demu mzuuuuriiii au mke bombaaaaaa, lakini
ukizama mtaani unakumbana na makerubi mengine
basi kope hazitulii yaani, unahisi wale wa mtaani ni wazuri zaidi wakati ukute demu wako amewazidi kila
kitu Wanaume wote tusali sala hii,
"Ee Mungu uliye
Mbinguni, tusaidie sisi tulioumbwa Wanaume tuweze
kuridhika na wanawake tulio nao, utupe mkate wetu
wa kila siku wenye JAM na chumvi kutoka kwa
Mwanamke mmoja tu, utuepushe na tamaa, na uyafanye macho yetu yatulie na sio kupepesuka kila
dakika ikipita sketi iliyotuna tuna kwa nyuma na
pembeni, Tusaidie macho yetu yasikodoe
sana, tuwapende wanawake uliotupa na wale wa nje
tuwaachie wengine" Baada ya sala hii Wanaume wote
tuseme Ameeeeen! Leo Povu Zitawatoka balaa ila ukweli ndo huu, full kugeuza
shingo tukirudi home ni kujichua na SALIMIA maana
shingo imepiga raundi mia kama Feni ya baa!