Hiki ni kiswanglish au?

Hiki ni kiswanglish au?

Malingumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
616
Reaction score
429
Jaman ambao mpo vizuri kwenye ngeli naombeni msaada hapa! Je kuweka "ki" na "wa" uzungumzapo kingereza ni sahihi mfano 1."I speak kiswahili" 2."wasukuma is the tribe found in northern Tanzania". Je "ki" na "wa" zilivyotumika ni sahihi? Mana wengine husema sahihi au wengine si sahihi naomba niwekeni sawa hapo.
 
Ziondoe hizo ki na wa!! Kumbe unajua au unatishia kuj***@ wakti una a***ha?
 
Back
Top Bottom