Baraka255
Member
- Jun 25, 2014
- 73
- 14
Wote tunajua malaria ni hatari na ni moja ya magonjwa yanayoongoza kwa kusababisha vifo hasa kwa watoto wadogo na mama wajawazito.-
Na pia unajua njia kuu ya maambukizi ya ugonjwa huu ni kwa kuumwa na mbu jike aina ya anofelesi. Na pia umeambiwa njia mojawapo ya kujikinga na maleria ni kuepuka kuumwa na mbu hawa kwa kulala kwenye chandarua chenye dawa ya kufukuza mbu. Ndio yote uliyoambiwa ni sahihi kabisa ila kuna moja la msingi ambalo hujaambiwa ama husikii mara kwa mara.-- Kuna watu wanaowavutia sana mbu kushinda watu wengine, unaweza kuwa wewe hivyo endelea kusoma ujue kama ni mmoja wao na njia za kuepuka.
Soma zaidi click here THE INNOVATION HOUSE : UNAWEZA KUWA UNAWAVUTIA SANA MBU KUSHINDA WATU WENGINE
Na pia unajua njia kuu ya maambukizi ya ugonjwa huu ni kwa kuumwa na mbu jike aina ya anofelesi. Na pia umeambiwa njia mojawapo ya kujikinga na maleria ni kuepuka kuumwa na mbu hawa kwa kulala kwenye chandarua chenye dawa ya kufukuza mbu. Ndio yote uliyoambiwa ni sahihi kabisa ila kuna moja la msingi ambalo hujaambiwa ama husikii mara kwa mara.-- Kuna watu wanaowavutia sana mbu kushinda watu wengine, unaweza kuwa wewe hivyo endelea kusoma ujue kama ni mmoja wao na njia za kuepuka.
Soma zaidi click here THE INNOVATION HOUSE : UNAWEZA KUWA UNAWAVUTIA SANA MBU KUSHINDA WATU WENGINE