Hiki ni kitu muhimu ambacho nimejifunza toka kwa Edward Lowassa

Hiki ni kitu muhimu ambacho nimejifunza toka kwa Edward Lowassa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
He was a real man ambaye alipitia Jando la miaka yetu ile. Alikuwa na kifua kipana. Alikuwa na moyo imara. Alikuwa mstaarabu sana.

Lowasa alitendwa vibaya na mtu ambaye yeye ndiye aliyemjenga pale madarakani. Lowasa alikuwa na mengi moyoni kuhusiana na mambo mengi ambayo yalifanywa na kikwete. Alinyamaza. Hakuyasema. Alitukananwa hata na watoto ambao angeweza wazaa. Hakuwajibu.

Lowasa aliondoka CDM kurudi CCM baada ya kuona mateso yanapelekwa hadi kwa wanafamilia wake. Hakuisema vibaya CDM. Alitukanwa kila kona yeye hakusema neno. Alinyamaza tu.

He was a real gentleman. Nami nafuata nyayo zake.
 
Upande wa pili hakuwa hivyo hata kidogo.alikuwa mtu mwenye tamaa kupiliza.
Haya maneno hayajawahi wekewa ushahidi hata siku moja. Na aliwahi waomba watu wapeleke ushahidi mahakamani.
 
MAAMUZU MAGUMU. Full stop...

R.I.P Laogwanan comrade ENL
 
Upande wa pili hakuwa hivyo hata kidogo.alikuwa mtu mwenye tamaa kupiliza.
Tamaa anayo wa Msoga, nani mmiliki wa UDA?,taja hapa mali za Lowassa (MHSRIP),msoga pale kuna mahekalu, yaliyojengwa kwa kodi yangu
 
He was a real man ambaye alipitia Jando la miaka yetu ile. Alikuwa na kifua kipana. Alikuwa na moyo imara. Alikuwa mstaarabu sana.

Lowasa alitendwa vibaya na mtu ambaye yeye ndiye aliyemjenga pale madarakani. Lowasa alikuwa na mengi moyoni kuhusiana na mambo mengi ambayo yalifanywa na kikwete. Alinyamaza. Hakuyasema. Alitukananwa hata na watoto ambao angeweza wazaa. Hakuwajibu.

Lowasa aliondoka CDM kurudi CCM baada ya kuona mateso yanapelekwa hadi kwa wanafamilia wake. Hakuisema vibaya CDM. Alitukanwa kila kona yeye hakusema neno. Alinyamaza tu.

He was a real gentleman. Nami nafuata nyayo zake.
cc uzi huu kwa The Boss
 
Wewe mtu aki post chai tu humu jukwaan unaanza kulia lia ndio utaweza kukaa kimya wewe kweli?
 
He was a real man ambaye alipitia Jando la miaka yetu ile. Alikuwa na kifua kipana. Alikuwa na moyo imara. Alikuwa mstaarabu sana.

Lowasa alitendwa vibaya na mtu ambaye yeye ndiye aliyemjenga pale madarakani. Lowasa alikuwa na mengi moyoni kuhusiana na mambo mengi ambayo yalifanywa na kikwete. Alinyamaza. Hakuyasema. Alitukananwa hata na watoto ambao angeweza wazaa. Hakuwajibu.

Lowasa aliondoka CDM kurudi CCM baada ya kuona mateso yanapelekwa hadi kwa wanafamilia wake. Hakuisema vibaya CDM. Alitukanwa kila kona yeye hakusema neno. Alinyamaza tu.

He was a real gentleman. Nami nafuata nyayo zake.
Yeah!....Rip Edward
 
Back
Top Bottom