Pre GE2025 Hiki ni kituko! Yaani gari wanunue wao CWT alafu RC Kilimanjaro kaenda kuzindu tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Wakuu

Yaani gari wanunue wao CWT alafu RC Kilimanjaro kaenda kuzindu tu!

==

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Nurdin Babu akizindua gari la chama cha walimu Moshi manispaa wakati wa Kliniki ya Samia katika mkoa wa Kilimanjaro iliyofanyika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Weruweru wilayani Hai.

Wakati wa kukabidhi gari hilo mwenyekiti wa chama cha walimu mkoani humo alieleza dhamira ya kununu gari hilo ni kusaidia walimu wa wilaya husika kwenye shughuli mbalimbali za kijamii.

 
Wanataka credit katika kila jambo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…