Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kinasa sauti
Dah inakaa kwenye suruali Mungu hakukosea
Taperecorder wire less
Mama anahitaji vijana mbona uyo bodigadi kashazeeka?
Ila watu mnajuwa kumchunguza mtu iko ni kiazima kidogo dogo
SanaWatu ni detectives hatari
Hahaahahaha nimecheka kwa sautiMbona usemi ambacho kipo kiunoni nini?
King'amuzi cha ZukuKing'amuzi
Jipitishe mbele ya Rais ghafra uone uzee wakeMama anahitaji vijana mbona uyo bodigadi kashazeeka?
Kama ni Kindyeki kisije kikamaliza watu. Ndyeki hatosheki ati!Ni ndyeki uyo nazan wanyakyusa wamenielew
Hirizi, Muha huyu.....si unawajuwa hawa watu walivyo na uchawi, bila kuroga hawezi kula au kufanya kazi.