Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Drone cameraVinapitaga hapa mida ya saa Moja 30' Hadi saa mbili Kila siku.
Kimoja kina mwanga kina ulingo kuzungukia.
Kingine kinafanana na stelite kina Kingo kama ngazi za helicopter.
View attachment 2946234View attachment 2946232View attachment 2946233
Fafanua mkuuHakionekani vizuri ila tujiandae Omuamua inarejea tena safari hii imefuatana na Vyombo vingine naona tunakuja kuvamiwa rasmi.
Nifafanuaje wakati nimeshafafanua.Fafanua mkuu
Kila siku Mda huohuo inafanya NiniDrone
Omuamua ni Nini?Nifafanuaje wakati nimeshafafanua.
Wanakua wana warecord hapo..Kila siku Mda huohuo inafanya Nini
Miezi minne Sasa naona vinaibuka Kisha vinaenda usawa wa jua linapochomoza
Na usawa wake ni Ule wa ndege za abiria sio chinichin
Omuamua ni Nini?
Naona Moja inafanana na zile spac ship ama zinaitwaje sijuiHao ni [emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89]wapo kazini wakiupiga mwingi wakishirikiana na mukubwa Elon musk
Nipishe [emoji1787]Wanakua wana warecord hapo..
Kuweni makini hiyo si nzuri kiafya mkuu
Dar es salaamMkoa gani huo
πππππ..Nipishe [emoji1787]