Hiki ni nini?

Shaycas

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2009
Posts
906
Reaction score
112
Mtandao wa vijana Tanzania,mwenyekiti wake ni Elipokea Urio
 
ni nini???? Elezea tafadhali

...niliona last week kwenye star tv kuna huyo jamaa urio alikua anahojiwa na angelo mwoleka kuhusu fursa ya tz ktk soko la ea,alijitambulisha kama mwenyekiti wa mtandao wa vijana tanzania.ndio mimi nauliza huo mtandao ni chama cha kisiasa,asasi au ni nini?je majukumu yake ni yepi?yeyote mwenye info zaid atujuze/anijuze
 
Naendelea kutafuta huyu jamaa.inawezekana akawa na mambo muhimu kwa vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…