Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Mimi ndio dereva hapa nasuburi abiria sioniMmmh! Wewe hiyo yako umeipeleka wapi? Hapo ungekuwa abiria wa kwanza tunhekupigia makofiii
Mmmmh sawa sawaMimi ndio dereva hapa nasuburi abiria sioni
Picha hiyo hapo mzee wa kazi mods wataipandisha hapo juuPicture Iko Wapi
Labda wakabebe vitoto vilivyozaliwa huko labour.Namshauri mmiliki alipeleke kwa wanafunzi wa chekechea girls
School bus hiyo..!! Ipeleke ikatumike kwenye shule za chekechea wapoSince morning still empty [emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2341116
View attachment 2341120
Hivi hakunaga boys wa hivyo?Namshauri mmiliki alipeleke kwa wanafunzi wa chekechea girls
Neno bikira linahusika kwa wanawake tuHivi hakunaga boys wa hivyo?