Hili bati......

rebeca

Senior Member
Joined
Dec 18, 2011
Posts
190
Reaction score
27
nimeliona humu humu JF nikalipenda ,wanajamii yanauzwa shiling ngapi?...kupaua nyumba ya vyumba vinne itanicost shiling ngapi nikiliweka?thanks.



View attachment 44951
 
na uimara wake ukoje plzzz....
 
Kuwa mvumilivu, wako likizo watakuja tu, ngoja watazame kitabu kwanza walilipa ngapi
 
Hayo yanauzwa kwa mita mkuu kuna mengine ni 10200 t shs kwa mita na kuna ya ando ambayo ndiyo quality kama tsh 13500 kwa mita
 
Hayo ndo yanatokea uganda nini?Nimeyaona sana bkb, ngoja tuwasubiri wanaoyafaham
 
Nenda kiwanda cha Aluminium Africa nyuma ya radio Tanzania utayapata kwa rangi upendayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…