LGE2024 Hili daftari la wapiga kura mwaka huu mbona kama wanatutukana wapiga kura?

LGE2024 Hili daftari la wapiga kura mwaka huu mbona kama wanatutukana wapiga kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Leo kwa vile ilikuwa jumapili nilikuwa na muda nikaamua kwenda kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Nilichokiona kama ningedadisi kabla ningerudi zangu nyumbani maana huu ni ujinga na uwenda wazimu. Yaani mtu unataja jina lako na tarehe ya kuzaliwa na unasaini basi umemaliza na kurudi nyumbani?

Kumbukuzi zetu za nyuma ni kwamba zoezi hili lilikuwa linafanyika kwa kutumia technolojia. Zamani ukifika ulikuwa unaulizwa kadi yako uliyotumia kupigia kura msimu uliopita, wanaichukua na kuingiza namba za hiyo kadi kwenye mfumo alafu taaarifa zako zote zinajileta unachotakiwa kufanya ni kubadilisha picha kwa kupiga picha mpya alafu unaprintiwa kadi mpya na kumaliza zoezi.

Kwa wale ambao kwa uchaguzi huu ndo wanafikia umri wa miaka 18 na kuwa na sifa ya kupiga kura ndo uingiziwa taarifa mpya na kutengenezewa kadi mpya.

Soma Pia:

Sasa kwa nilichokiona cha kuandika kwa mkono jina tu na sahihi ambapo mtu anaweza kujitengenezea majina hata million 20 na sahihi za kughushi hawaoni ni dalili tosha ya sintofahamu ya kuchakachua matokeo halali ya wapiga kura?
 
Leo kwa vile ilikuwa jumapili nilikuwa na muda nikahamua kwenda kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Nilichokiona kama ningedadisi kabla ningerudi zangu nyumbani maana huu ni ujinga na uwenda wazimu. Yaani mtu unataja jina lako na tarehe ya kuzaliwa na unasaini basi umemaliza na kurudi nyumbani??
Kumbukuzi zetu za nyuma ni kwamba zoezi hili lilikuwa linafanyika kwa kutumia technolojia. Zamani ukifika ulikuwa unaulizwa kadi yako uliyotumia kupigia kura msimu uliopita, wanaichukua na kuingiza namba za hiyo kadi kwenye mfumo alafu taharifa zako zote zinajireta unachotakiwa kufanya ni kubadilisha picha kwa kupiga picha mpya alafu unaprintiwa kadi mpya na kumaliza zoezi. Kwa wale ambao kwa uchaguzi huu ndo wanafikia umri wa miaka 18 na kuwa na sifa ya kupiga kura ndo uingiziwa taarifa mpya na kutengenezewa kadi mpya. Sasa kwa nilichokiona cha kuandika kwa mkono jina tu na sahihi ambapo mtu anaweza kujitengenezea majina hata million 20 na sahihi za kughushi hawaoni ni dalili tosha ya sintofahamu ya kuchakachua matokeo halali ya wapiga kura??
Hiyo utafanyiwa wakati wa uandikishaji uchaguzi mkuu, huu wa serikali za mtaa hamna mambo mengi.
 
Leo kwa vile ilikuwa jumapili nilikuwa na muda nikaamua kwenda kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Nilichokiona kama ningedadisi kabla ningerudi zangu nyumbani maana huu ni ujinga na uwenda wazimu. Yaani mtu unataja jina lako na tarehe ya kuzaliwa na unasaini basi umemaliza na kurudi nyumbani?

Kumbukuzi zetu za nyuma ni kwamba zoezi hili lilikuwa linafanyika kwa kutumia technolojia. Zamani ukifika ulikuwa unaulizwa kadi yako uliyotumia kupigia kura msimu uliopita, wanaichukua na kuingiza namba za hiyo kadi kwenye mfumo alafu taaarifa zako zote zinajileta unachotakiwa kufanya ni kubadilisha picha kwa kupiga picha mpya alafu unaprintiwa kadi mpya na kumaliza zoezi.

Kwa wale ambao kwa uchaguzi huu ndo wanafikia umri wa miaka 18 na kuwa na sifa ya kupiga kura ndo uingiziwa taarifa mpya na kutengenezewa kadi mpya.

Soma Pia:

Sasa kwa nilichokiona cha kuandika kwa mkono jina tu na sahihi ambapo mtu anaweza kujitengenezea majina hata million 20 na sahihi za kughushi hawaoni ni dalili tosha ya sintofahamu ya kuchakachua matokeo halali ya wapiga kura?
Acha hiyo Leo hapa Dodoma, kile kitabu kiliisha wadada wamepita mtaani kwetu kuandikisha kwa kutumia daftari la kawaida kama vile la Msomi!
 
Mkuu zoezi la kuandikisha wapiga kura kwa kutumia mfumo wa bvr bado halijaisha, kwa sasa liko zanzibar na baada ya hapo litasimama kwa muda kupisha huo uchaguzi wa serikali za mitaa, bila shaka utakuwa kwenye mikoa ambayo zoezi hilo bado halijafanyika (pwani, kaskazini na kusini) hivyo ondoa shaka kila mtanzania aliyekidhi vigezo lazima ataandikishwa kwenye huo mfumo, kwa chaguzi za serikali za mitaa hizo kadi siyo lazima muhimu ni uchaguzi mkuu
 
Wabongo wengi bado tuna shida ya uelewa,mtu anaenda kujiandikisha kwenye daftari la wakaazi kwa ajili ya kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa anafikiri ndiyo daftari la kudumu la wapiga kura! Ndiyo maana CCM inapata mserereko kwenye chaguzi kwa sababu maboya wapo wengi sana.
 
Hakika bro bora usingeandika maana umeonesha ni jinsi gani ccm ina mtaji mkubwa ukiwemo na wewe yaani hujui kama zoezi linaloendelea ni kwa ajili ya serikal za mitaa na unakuja kushupaza shingo? Hakika Tanzania tuna safari ndefu
 
Wewe unawakilisha kundi kubwa la vijana wa nchi hii hamjui hata Kuna uchaguzi wa serikali za Mitaa na uchaguzi mkuu
Na hata wakijua kuna umuhimu gani? toka wamejua na kuchagua wizi wa kura uliisha? demokrasia na maendeleo ya kweli vilipatikana?
 
Basi msiende kujiandikisha.. Ila kumbukeni kuwa CCM wanajiandikisha bila utani.. Halafu nje mseme mmeibiwa kura..
 
Leo kwa vile ilikuwa jumapili nilikuwa na muda nikaamua kwenda kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Nilichokiona kama ningedadisi kabla ningerudi zangu nyumbani maana huu ni ujinga na uwenda wazimu. Yaani mtu unataja jina lako na tarehe ya kuzaliwa na unasaini basi umemaliza na kurudi nyumbani?

Kumbukuzi zetu za nyuma ni kwamba zoezi hili lilikuwa linafanyika kwa kutumia technolojia. Zamani ukifika ulikuwa unaulizwa kadi yako uliyotumia kupigia kura msimu uliopita, wanaichukua na kuingiza namba za hiyo kadi kwenye mfumo alafu taaarifa zako zote zinajileta unachotakiwa kufanya ni kubadilisha picha kwa kupiga picha mpya alafu unaprintiwa kadi mpya na kumaliza zoezi.

Kwa wale ambao kwa uchaguzi huu ndo wanafikia umri wa miaka 18 na kuwa na sifa ya kupiga kura ndo uingiziwa taarifa mpya na kutengenezewa kadi mpya.

Soma Pia:

Sasa kwa nilichokiona cha kuandika kwa mkono jina tu na sahihi ambapo mtu anaweza kujitengenezea majina hata million 20 na sahihi za kughushi hawaoni ni dalili tosha ya sintofahamu ya kuchakachua matokeo halali ya wapiga kura?
Hilo ni la uchaguzi wa serikali za mitaa
 
Back
Top Bottom