Kama ulipanda hii gari ukiwa mdogo punguza kula chumvi, sukari na nyama nyekundu.Na Pia Nawaambia Vizazi Viipya Hili Gari Ni Peogeut 404 Miaka ya 1964/69 Lilikua Likiuzwa Tsh.3000/= Mpaka 3500/= Mpyaaaaa !🫵[emoji2534][emoji38]. Beiyakilomojayasukari au bia moja na maji makubwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Uzi wako hauja zingatia viwango vya mfumuko wa bei na thamani ya fedha yetu kwa kipindi hicho. Imagine Mwaka 1968 Gavana wa Benki kuu pamoja na mwalimu walikua wanapokea mshahara wa 5000/=