Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo beki mmoja kalala chini sijui shida nini
World cup ni sehemu ya kufanya maajabu. Hili ni miongoni mwa maajabu hayo. Huyu Mwamba kaweka historia yake na atakumbukwa Kwa hili. Tafuta mikanda yote ya magoli ya world cup, hutaona goli la Aina hii. Makasirio, makisio, malengo, ni ya kiwango cha kipekee kabisa katika tukio hili ambalo katika akili ya kawaida Hakuna Mwalimu wa mpira atamfundisha mshambuliaji wake kufanya alichofanya Mwamba. Ukisikia Mtu katumia akili zake na siyo akili za darasani ndo kama hivi.
Alifinywa kidogo mkuu akapitiliza mpaka chini😂😂tatizo beki mmoja kalala chini sijui shida nini
Hivi anacheza club gani huyu mwamba?Mfungaji mwenyew pia jitu mwitu
Yan Vice bouba utamuona kwenye international football tu
Namkubali sana striker wangu huyu
Unamuwaza sana ChamaAmetumia akili sana...kama Mwamba wa Lusaka ...Chamaaa
twende zetu kwa mgaya ndugu ynguUnamuwaza sana Chama
Mwenye hyo clip naomba hapa