Hili goli lina nini cha ziada mpaka kuzungumzwa kiasi hiki?

Hili goli lina nini cha ziada mpaka kuzungumzwa kiasi hiki?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
IMG_20221129_081257.jpg


 
World cup ni sehemu ya kufanya maajabu. Hili ni miongoni mwa maajabu hayo. Huyu Mwamba kaweka historia yake na atakumbukwa Kwa hili. Tafuta mikanda yote ya magoli ya world cup, hutaona goli la Aina hii. Makasirio, makisio, malengo, ni ya kiwango cha kipekee kabisa katika tukio hili ambalo katika akili ya kawaida Hakuna Mwalimu wa mpira atamfundisha mshambuliaji wake kufanya alichofanya Mwamba. Ukisikia Mtu katumia akili zake na siyo akili za darasani ndo kama hivi.
 
Ngoja nikaliangalie kwanza,maana jana sikuangalia
 
Back
Top Bottom