Hili halina ubishi, wanaoipinga Katiba Pendekezwa ni Madikteta!! Angalia mtririko huu.

Hili halina ubishi, wanaoipinga Katiba Pendekezwa ni Madikteta!! Angalia mtririko huu.

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
CHADEMA
1992-1998 m/kiti Edwin Mtei
1998-2003 m/kiti Bob Makani
2003-2008 m/kiti Freeman Mbowe
2009-2014 m/kiti Freeman Mbowe
2015-2020 m/kiti Freeman Mbowe

CCM (Chama cha Mapinduzi).
1990-1996 m/kiti Ali hassan Mwinyi
1996-2006 m/kiti Benjamin Mkapa
2006-2016 m/kiti Jakaya Kikwete

CUF (Civic United Front)
1995-2000 m/kiti Ibrahim Lipumba
2000-2005 m/kiti Ibrahim Lipumba
2006-2011 m/kiti Ibrahim Lipumba
2012-2017 m/kiti Ibrahim Lipumba

NCCR-MAGEUZI
1992-1995 m/kiti Mabere Marando
1995-1999 m/kiti Augustin Mrema
2000-2005 m/kiti James Mbatia
2005-2010 m/kiti James Mbatia
2010-2014 m/kiti James Mbatia
2015-2020 m/kiti James Mbatia
 
CHADEMA
1992-1998 m/kiti Edwin Mtei
1998-2003 m/kiti Bob Makani
2003-2008 m/kiti Freeman Mbowe
2009-2014 m/kiti Freeman Mbowe
2015-2020 m/kiti Freeman Mbowe

CCM (Chama cha Mapinduzi).
1990-1996 m/kiti Ali hassan Mwinyi
1996-2006 m/kiti Benjamin Mkapa
2006-2016 m/kiti Jakaya Kikwete

CUF (Civic United Front)
1995-2000 m/kiti Ibrahim Lipumba
2000-2005 m/kiti Ibrahim Lipumba
2006-2011 m/kiti Ibrahim Lipumba
2012-2017 m/kiti Ibrahim Lipumba

NCCR-MAGEUZI
1992-1995 m/kiti Mabere Marando
1995-1999 m/kiti Augustin Mrema
2000-2005 m/kiti James Mbatia
2005-2010 m/kiti James Mbatia
2010-2014 m/kiti James Mbatia
2015-2020 m/kiti James Mbatia

wewe unamatizo ya Akili sio Bure, au umecopy sehemu na kuja kupaste hapa, Kwa nini CCM umeianzia 1990?, CCM ilianza 1977 Hebu tutajie viongozi wa CCM kutoka kuanzishwa kwake 1977 mpaka 1990 alipochukua Mwinyi
 
Wewe ndo mwenye matatizo. Looo! nimestuka, hivi hawa ndo wanasema wanajali uongozi na utawala wa Kikatiba? halafu wanatushawishi eti tusipige kura ya maoni.

Mbona wanang'ang'ania madaraka muda wote? Tujitambue ni vizuri tuwe na mawazo mapya, uongozi ni kuachiana na sio kung'ang'ania madaraka.
 
Udikteta maana yake nini? Wanaounga mkono katiba inayopendekezwa wana viini vyte vya ufashisti. Ni typical Hitler style.
 
Wewe ndo mwenye matatizo. Looo! nimestuka, hivi hawa ndo wanasema wanajali uongozi na utawala wa Kikatiba? halafu wanatushawishi eti tusipige kura ya maoni.

Mbona wanang'ang'ania madaraka muda wote? Tujitambue ni vizuri tuwe na mawazo mapya, uongozi ni kuachiana na sio kung'ang'ania madaraka.


Mmeona eee! Nawashukuru watanzania wenzangu kwa kuliona hili, ukweli uko wazi hawa ndio baadaye wakiingia madarakani wanang'ang'ania na kulazimisha kubadili katiba ili waendelee kubaki madarakani, hicho ni kipimo kidogo tu kwao lazima tuwatazame kwa uangalifu hawa jamani!!
 
Loooo hili janga hapo tu ni kwenye vyama vyao wako hivyo je tukiwapa nchi si ndio watakaa milele nimewagundua ndio maana wanapinga Katiba Pendekezwa, lazima watambue Katiba pendekezwa ni kama mvua ya mawe huwezi ukaizuia kwa mwavuli itanyesha tu watanzania wanajua wanachokifanya!
 
kwa akili za kushikiliwa mtaendelea sana kuumiza kichwa kwa wapinzani .maana mmesahau kuwa wanchaguliwa na wanachama au mnadhani wanajichagua !!!
 
Huna hoja,angalau ungetueleza hao ving'an'anizi wa madaraka wana jipya gani?
 
Nyie ndio wale wale kazi yenu kulishwa maneno na inaelekea hamna hoja mpya hapa, na mmeishiwa na hazina ya viongozi sasa mtakua na jipya gani kwenye katiba Pendekezwa waacheni wenye akili wajadili na wafanye maamuzi hulka yenu ni kukataa kila kitu mtakuja kugoma hata kula.
 
Huna hoja umekua kwa sababu uko kwenye nchi sahihi yenye amani na mshikamano ungekua Libya ungeongea haya?? acha dharau.
 
Hakika wewe ni Profesa muongo kama lilivyo jina lako, huna jipya na inaelekea kabisa wewe sio Mtanzania usituchafulie hali ya hewa humu ndani forum hii tunaiheshimu sana, kama huna hoja ni bora ukae kimya.
 
Bora hata mgeitwa wanamageuzi, wanaharakati au wapenda mabadiliko kuliko WAPINZANI neno lenyewe upinzani linaboa kupinga kila kitu kiwe kizuri mnapinga, chema mnapinga, chenye faida kwenu mnapinga na sasa mmeshaanza kupingana wenyewe kwa wenyewe na matokeo yake mtayaona muda si mrefu.
 
Huna jipya utaendelea kuburuzwa mpaka utakua mzee, na bado vijana mtafukuzwa sana kwa mfumo wenu huo wa kung'an'ania madaraka.
 
Aha kumbe ndivyo walivyo!!! Wanajidai wana Demokrasia kumbe wana DOMOKRASIA. WANAPIGA DOMO TU. Kama wanademokrasia ya kweli kwa nini mmoja agombee urais mara tano mfululizo!!! Je chama chenu hakina watu wenye uwezo!!! Basi kama ni wewe tu una uwezo hicho sio chama ni familia iliyochoka!!! Katiba inayopendekezwa ni Mpango Mzima ipigie kura ya NDIYO UPATE MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIFIKRA. UPO HAPO.
 
CHADEMA
1992-1998 m/kiti Edwin Mtei
1998-2003 m/kiti Bob Makani
2003-2008 m/kiti Freeman Mbowe
2009-2014 m/kiti Freeman Mbowe
2015-2020 m/kiti Freeman Mbowe

CCM (Chama cha Mapinduzi).
1990-1996 m/kiti Ali hassan Mwinyi
1996-2006 m/kiti Benjamin Mkapa
2006-2016 m/kiti Jakaya Kikwete

CUF (Civic United Front)
1995-2000 m/kiti Ibrahim Lipumba
2000-2005 m/kiti Ibrahim Lipumba
2006-2011 m/kiti Ibrahim Lipumba
2012-2017 m/kiti Ibrahim Lipumba

NCCR-MAGEUZI
1992-1995 m/kiti Mabere Marando
1995-1999 m/kiti Augustin Mrema
2000-2005 m/kiti James Mbatia
2005-2010 m/kiti James Mbatia
2010-2014 m/kiti James Mbatia
2015-2020 m/kiti James Mbatia

Unajua maana ya UDIKTETA au umekaririshwa tu Kama kasuku?! Mbona hukumtaja Julius Nyerere 1961 - 1985?! Bs
 
Kweli Claudia umetufumbua macho hata sisi wana UKAWA tunaweza kujidai kukataa kupiga kura na katiba ikapita vile vile. Mimi nimeipitia nikagundua mambo mengi mazuri yameainishwa katika Katiba Inayopendekezwa. Mwanzoni nami nilichukuliwa na uvumi na kusema kuwa Katiba hii haina maadili ya viongozi na watumishi wa umma. Nilivyoisoma vizuri nikayakuta maadili na miiko ya uongozi yapo kwenye Sura ya 4. Wenzangu tuisome vizuri Katiba ili tusiishie kuwa paukwa PAKAWA. Katiba hii imejali hadi watoto, wanawake, wasanii, wafugaji, wavuvi na wakulima. Wewe unayeikataa upo kundi lipi, ulitaka iwajali madikteta kama baadhi ya viongozi wetu wanaounda UK...A, au iweke haki za vibaka ndo utaikubali. Acha hizo fanya maamuzi sahihi usiburuzwe na wenye maslahi binafsi.
 
Hivi ni kwa nini Watanzania wengi wana uvivu wa kusoma. Katiba Inayopendekezwa wanaoisoma ni wachache sana hivyo wanaishia kusikiliza maneno toka kwa watu pengine wasiosahihi hvyo kupata taarifa isiyo sahihi. Nawashauri Watanzania wenzangu waisome Katiba Inayopendekezwa na waipigie kura ya Ndio kwani yale mengine wanayoyataka yawe kwenye Katiba yataingizwa baadae kwenye amendment. Katiba sio Biblia wala Koran ambavyo tunaambiwa tusipunguze wala kuongeza. Halafu masuala mengine ambayo watanzania wanayataka yawaongoze yatatungiwa sheria. Halafu ni nchi gani katika Dunia hii ambayo katiba inapendwa na watu wote!!!! Jambo hili haliwezekani. Kinachotakiwa kwa watanzania ni kuwa Wazalendo na kujali maslahi ya walio wengi au wananchi badala ya kupiga vita Katiba.
 
Maaskofu mlitaka kutupotosha sisi waumini wenu kumbe Katiba Inayopendekezwa ni nzuri sana ukilinganisha na hii iliyopo hata rasmu za Mzee Fulani. Kwa kweli sasa tutaipigia kura ya ndiyo. Ila siwalaumu wakubwa zangu najua nanyi kuna vitu mlitaka visisike masikioni mwenu hasa Mahakama Fulani, lakini hiyo haimu katika katiba Inayopendekezwa.
 
1962-1985? Is this history forgoten? Lakini haukua udikteta it was peoples will! As it is now to those politician you mentioned
 
Back
Top Bottom