Hili jambo je??

Joined
Feb 29, 2012
Posts
54
Reaction score
17
Born 15.8.1990

nimeajiriwa na serikali, mshahara wangu ni zaidi ya $800..nataka kufungua biashara ambayo ni simple but very smart ambayo haita niboa na kunikera wala kunichosha...nimewaza na kutafakari kua biashara ya muziki itaendana na mimi..nimetafakari kwakina outcomes na binafsi nimejiridhisha, je! INALIPAA?? maana nilifungua grocery nikazitundika bia zote..msaada wajameni!!
 
unafanya kazi wapi na kazi yako inahusu nn? ili niweze kukupa ideas zinazoendana na ur job.....f u dnt mind.
 
hapo ktk black unataka tukuhisi kuwa unatafuta sugar mamy/dady!!?😛hoto:
 
Biashara ya muziki.........ni pana wewe unataraji kudumia eneo lipi katia hii biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…