Hili jambo linanifanya nisiwaze kabisa kuhusu kuoa

Nime-mind sana huo mwisho wa stori *****. 😁
 
Huna akili kama huyo
unayemgegeda

Sms mnazotumia hua hazifutiki dogo au maneno yenu hua hayafutiki kumbuka ndani ya miezi 6 sms and recorded zenu husikika na huonekana mtandaoni(wewe hata ukifuta tambua mfanyakazi wamtandao husika anasisoma akiamua

Pili,hazitoonekana kirahisi hata kwamfanyakazi iwapo miezi 6 imepita zitaingia kwenye recycle bin hapasasa Hadi mahakama iamue ndipo zitoelewe

Angalizo tunapolisi njaa sana huyo mumewe akija ona namba yako akaishitukia jambo atakalofanya endapo ataamua nikumtafta polisi mmoja njaa kali akamtia 50 alf waende kwenye mtandao husika kufatilia wataprintiwa kilakitu

Achana na ushambawako mwambie huyo tafteni signal mpya kuwezesha mpango uendelee
 
Kwanza hadi hapo mume wake amehis kitu, hajapotezea nakuambua. Piga chini huyo, mtakamatwa sio muda mrefu
 
Karma is a bitch who fucks everybody..

Kaa kwa kutulia mkuu, siku ukioa ukagongewa na wewe ukumbuke uliwahi gongea mke mtu.


Kwa kifupi hapa unajitetea mwanamke aonekane muhanga lakini kiuhalisia ni udhaifu wako na tamaa zako ndo zimekufanya ukamla.. inakuwaje unaruhusu mke wa mtu anakutembelea kwako na haujaoa??

Hapo ni sawa na shetani alivyomshawishi Eva kula tunda.. then akaenda kwa Sir God kumwambia ona vile umeumba viumbe dhaifu eti wawe juu yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenitisha sana mzee, inabidi niache kabisa hii tabia.
 
Jinsi tulikuwa tunaheshimiana wala sikudhani kama angekuwa na lengo lile ndio maana nikaona nimkaribishe tu kama ndugu kwa sababu ningekataa angenifikiria vibaya.
 
Hii sikatai mimi niliwahi pigiwa na mwana kabisa wa karibu Sana walikuwa wanaitana hivyo hivyo mume mi nachukulia poa kumbe wenzangu wanamaanisha uhalisia hadi nilivyokuja kuwafumania mwenyewe bila hata kuambiwa watupu kabisa.
Ilinibidi niondoke tu kuepusha ambayo yalikuwa yananijia katika akili kuyatenda.
 
Jinsi tulikuwa tunaheshimiana wala sikudhani kama angekuwa na lengo lile ndio maana nikaona nimkaribishe tu kama ndugu kwa sababu ningekataa angenifikiria vibaya.
Ahhh wapi.. kwanini usingemwambie akutembelee akiwa na mume wake ili undugu udumu zaidi?!..
 
Ahhh wapi.. kwanini usingemwambie akutembelee akiwa na mume wake ili undugu udumu zaidi?!..
Mume wake sio mtu wa kutembelea watu kwa sababu hata kwa bro wangu ambaye huwa wanawasiliana hawajawahi kukutana. Pia huyu msichana huwa ananitaka niende kwake ila nilishamwambia siwezi kwenda hadi mumewe awepo, nikipata time natamani niende nikaone anapokaa nimuone na mumewe.
 
Pole sn,na ukifanya la maana Sana kuachana nae maana ungeingia kwenye matatizo yasiyokuwa ya lazima

Wanawake ni watu wa hovyo sn samtaimz
 
Wewe jamaa ni kama mimi, hii hali kumbe inawatokea wengi.
 
Umefanya zinaa kwa kutojizuia kumshinda shetani.Ungekuwa na akili hukupaswa ulete uzembe wako hapa mana hata kama hatufahamiani ndivyo unavyopata kujiweka wazi.
 
Kijana hofu ya Nini? si una mafuta mazito hapo ghetto au unatumia lotion, anyway vyote ni vilainishi 40 ikifika tupe mrejesho.
 
Fikra izidi hisia.
Utakuja kuliwa kinyeo hiko.
Heshimu Mali ya mniga mwenzio
 
We bwana clever unatupiga kamba unamkula Mwanamke mwenye mtoto ila unatwamabia ni Msichana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…